CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 518
- 901
Ndugu zangu wadanganyika,
Matatizo au changamoto ambazo kiini chake ni mfumo mzima mbovu wa nchi hii, auwezi kutatuliwa kwenye mikutano na wananchi, kwa kuinua mwananchi mmoja na kumsikiliza kisha unampigia simu sijui waziri au mkurugezi kutatua shida ya huyo mwananchi.
Ukweli ni kwamba utatumia faida ya ujinga walionao wananchi wako, Wananchi hawajui nini maana ya propaganda na hiki anachokifanya bwana PAUL MAKONDA ni propaganda au mazigaombwe.
MAKONDA alikua karibu sana na Magufuli hivyo wenda alikua mshauri au alijifunza propaganda kutoka Kwa Magufuli, wananchi wanamuona Makonda kama mtu anayewasikiliza na kutatua shida zao Makonda anazidi kujipatia umaarufu, na sina tatizo na Makonda kwani najua ni mwanasisa na wanasiasa ni mabingwa wa kutumia propaganda ili kuwin trust kutoka kwa wananchi.
Lakini ukweli utabaki palepale anayoyafanya bwana Paul Makonda ni kiini macho tu kwani auwezi kutatua changamoto au shida za wananchi kwa kumsikiliza mwananchi mmoja mmoja pasipo kupambana na mfumo ambao ndio chanzo cha hizo changamoto, in short Makonda inabidi apambane na mfumo ambao umeletwa na chama chake mwenyewe.
Matatizo au changamoto ambazo kiini chake ni mfumo mzima mbovu wa nchi hii, auwezi kutatuliwa kwenye mikutano na wananchi, kwa kuinua mwananchi mmoja na kumsikiliza kisha unampigia simu sijui waziri au mkurugezi kutatua shida ya huyo mwananchi.
Ukweli ni kwamba utatumia faida ya ujinga walionao wananchi wako, Wananchi hawajui nini maana ya propaganda na hiki anachokifanya bwana PAUL MAKONDA ni propaganda au mazigaombwe.
MAKONDA alikua karibu sana na Magufuli hivyo wenda alikua mshauri au alijifunza propaganda kutoka Kwa Magufuli, wananchi wanamuona Makonda kama mtu anayewasikiliza na kutatua shida zao Makonda anazidi kujipatia umaarufu, na sina tatizo na Makonda kwani najua ni mwanasisa na wanasiasa ni mabingwa wa kutumia propaganda ili kuwin trust kutoka kwa wananchi.
Lakini ukweli utabaki palepale anayoyafanya bwana Paul Makonda ni kiini macho tu kwani auwezi kutatua changamoto au shida za wananchi kwa kumsikiliza mwananchi mmoja mmoja pasipo kupambana na mfumo ambao ndio chanzo cha hizo changamoto, in short Makonda inabidi apambane na mfumo ambao umeletwa na chama chake mwenyewe.