Kwa wale wote wenye taaluma na wasio na taaluma yoyote napendekeza yafuatayo:
1. Tambua kipaji na mtaji wa asili ulionao.
2. Badili mtizamo wa kimaijsha.
3. Kujitambua wewe na thamani yako katika uzalishaji
4. Kutambua umuhimu wa rasilimali uliyonayo i.e Knowledge and Skills are assets for production
5. Buni miradi binafsi ili kutengeneza ajiri ya kudumu isiyo na longolongo.
6. Usitake kutumia mtaji mkubwa anza na mdogo hata kama ni 5,000/=
7. Tekeleza malengo yako
8. Heshimu malengo yako
9. Heshimu malengo ya wengine
10. Usiwe na aibu ktk kazi yako
11. Usiruhusu mtu adharau kazi yako
12. Mpuuze anayedharau kazi yako kwani binadamu tunatofautiana ktk mitizamo.
13. Fanya ufuatiliaji wa biashara yako hatua kwa hatua hasa ktk hatua za mwanzoni.
.
.
.
.
.
.nth
Ukifuata hayo, hautotafuta ajili kwa nguvu kubwa..matokeo yake utakuja kupata kazi amabyo hautotamani kuifanya kwani kazi yako binafsi itakuwa inakulipa vzr na kwa uhuru wa kufanya maamuzi.
Kwa maelezo zaidi nitafute!
1. Tambua kipaji na mtaji wa asili ulionao.
2. Badili mtizamo wa kimaijsha.
3. Kujitambua wewe na thamani yako katika uzalishaji
4. Kutambua umuhimu wa rasilimali uliyonayo i.e Knowledge and Skills are assets for production
5. Buni miradi binafsi ili kutengeneza ajiri ya kudumu isiyo na longolongo.
6. Usitake kutumia mtaji mkubwa anza na mdogo hata kama ni 5,000/=
7. Tekeleza malengo yako
8. Heshimu malengo yako
9. Heshimu malengo ya wengine
10. Usiwe na aibu ktk kazi yako
11. Usiruhusu mtu adharau kazi yako
12. Mpuuze anayedharau kazi yako kwani binadamu tunatofautiana ktk mitizamo.
13. Fanya ufuatiliaji wa biashara yako hatua kwa hatua hasa ktk hatua za mwanzoni.
.
.
.
.
.
.nth
Ukifuata hayo, hautotafuta ajili kwa nguvu kubwa..matokeo yake utakuja kupata kazi amabyo hautotamani kuifanya kwani kazi yako binafsi itakuwa inakulipa vzr na kwa uhuru wa kufanya maamuzi.
Kwa maelezo zaidi nitafute!