Hili neno kuzini nje ya ndoa linanipa shida kulielewa,
hivi kuna kuzini ndani ya ndoa? naomba tafsiri ya neno hili kuzini!
Zinaaa nyingine ni kwa wale ambao bado kuoa/kuolewa au kuingia kwenye fungate ya ndoa, hawa wanaitwa wazinifu tu, ila ahisemwi kuwa ni nje ya ndoa.