Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
[h=3]Kuzimika Kwa Taa Neshno: Serikali Imehuzunishwa Sana[/h] |
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Serikali imehuzunishwa sana na tukio la jana wakati wa mchezo wa fainali ya
Kombe la Kagame kati ya vilabu vya Simba na Yanga ambapo umeme ulikatika ghafla
kwenye Uwanja wa Taifa. Wizara inawaomba radhi wapenzi wa soka wa Tanzania na
Afrika Mashariki na Kati kwa usumbufu uliojitokeza.
Tukio hilo ambalo siyo la kawaida halikutazamiwa.
wananchi, hususani wapenda michezo, kwamba tukio la aina hiyo halitatokea
Aidha, Serikali inawashukuru wananchi wote waliojitokeza uwanjani hapo
kushuhudia mchezo wa jana kwa kuwa watulivu wakati wote wa tukio hilo hadi umeme
Kwa kutambua uzito wa suala hili, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo imeunda Kamati ya watu wanne (4) kuchunguza sababu zilizosababisha
umeme kukatika na kukosekana uwanjani hapo. Kamati hiyo itaongozwa na Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara, Bi. Sihaba Nkinga. Wajumbe wengine ni Bw. Charles Bagenda,
Mkuu wa Kitengo cha Umeme cha Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Bw.
Mohamed Kiganja, Kaimu Katibu Mkuu, Baraza la Michezo la Taifa (BMT) na Bi. Anna
Chungu, Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi Wizarani.
Kamati itakamilisha kazi yake ndani ya siku saba (7) kuanzia kesho tarehe 12
Julai, 2011 na itakabidhi taarifa yake kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo, Dkt. Emmanuel J. Nchimbi (Mb).
Wizara inapenda kutumia fursa hii kuzipongeza timu za Simba, Yanga na Ocean
View zilizoshiriki kwenye mashindano ya mwaka huu kwa kuonyesha kiwango kizuri
cha mchezo na nidhamu ya hali ya juu. Aidha, Wizara inaipongeza klabu ya Yanga kwa
Imetolewa na:-
KATIBU MKUU,
WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Serikali imehuzunishwa sana na tukio la jana wakati wa mchezo wa fainali ya
Kombe la Kagame kati ya vilabu vya Simba na Yanga ambapo umeme ulikatika ghafla
kwenye Uwanja wa Taifa. Wizara inawaomba radhi wapenzi wa soka wa Tanzania na
Afrika Mashariki na Kati kwa usumbufu uliojitokeza.
Tukio hilo ambalo siyo la kawaida halikutazamiwa.
wananchi, hususani wapenda michezo, kwamba tukio la aina hiyo halitatokea
Aidha, Serikali inawashukuru wananchi wote waliojitokeza uwanjani hapo
kushuhudia mchezo wa jana kwa kuwa watulivu wakati wote wa tukio hilo hadi umeme
Kwa kutambua uzito wa suala hili, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo imeunda Kamati ya watu wanne (4) kuchunguza sababu zilizosababisha
umeme kukatika na kukosekana uwanjani hapo. Kamati hiyo itaongozwa na Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara, Bi. Sihaba Nkinga. Wajumbe wengine ni Bw. Charles Bagenda,
Mkuu wa Kitengo cha Umeme cha Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Bw.
Mohamed Kiganja, Kaimu Katibu Mkuu, Baraza la Michezo la Taifa (BMT) na Bi. Anna
Chungu, Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi Wizarani.
Kamati itakamilisha kazi yake ndani ya siku saba (7) kuanzia kesho tarehe 12
Julai, 2011 na itakabidhi taarifa yake kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo, Dkt. Emmanuel J. Nchimbi (Mb).
Wizara inapenda kutumia fursa hii kuzipongeza timu za Simba, Yanga na Ocean
View zilizoshiriki kwenye mashindano ya mwaka huu kwa kuonyesha kiwango kizuri
cha mchezo na nidhamu ya hali ya juu. Aidha, Wizara inaipongeza klabu ya Yanga kwa
Imetolewa na:-
KATIBU MKUU,
WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO