Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,224
12,729
Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.

Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
 
Nimekuwa najiuliza sana hili swali. Nakumbuka mara ya kwanza kuwaza hivi nilimuuliza mama. Nikasema sisi lengo letu nini? Bibi kamzaa mama, bibi anazeeka anakufa. Na mama anatuzaa sisi, nae atazeeka na atakufa vile vile. Na mimi naanza kupambana na mihangaiko ya maisha kisha nazaa watoto. Then what?


Kama mleta maada alivyosema, labda kama tungekuwa hatufi ingeleta maana.
Kama watu wa BC hakuna wanachofaidika na kizazi hiki ya nini kuzaana? Si tustop biashara kichaa iishie hapa?

au sisi tumefungwa na kitu fulani ambacho lengo lake ni kitoweo. Kama vile sisi tunavyofuga kuku.

Inafikilisha kwa kweli forget wandugu.
 
Nimekuwa najiuliza sana hili swali. Nakumbuka mara ya kwanza kuwaza hivi nilimuuliza mama. Nikasema sisi lengo letu nini? Bibi kamzaa mama, bibi anazeeka anakufa. Na mama anatuzaa sisi, nae atazeeka na atakufa vile vile. Na mimi naanza kupambana na mihangaiko ya maisha kisha nazaa watoto. Then what?


Kama mleta maada alivyosema, labda kama tungekuwa hatufi ingeleta maana.
Kama watu wa BC hakuna wanachofaidika na kizazi hiki ya nini kuzaana? Si tustop biashara kichaa iishie hapa?

au sisi tumefungwa na kitu fulani ambacho lengo lake ni kitoweo. Kama vile sisi tunavyofuga kuku.

Inafikilisha kwa kweli forget wandugu.
Umeiweka vyema sana mdau.
 
Nimekuwa najiuliza sana hili swali. Nakumbuka mara ya kwanza kuwaza hivi nilimuuliza mama. Nikasema sisi lengo letu nini? Bibi kamzaa mama, bibi anazeeka anakufa. Na mama anatuzaa sisi, nae atazeeka na atakufa vile vile. Na mimi naanza kupambana na mihangaiko ya maisha kisha nazaa watoto. Then what?


Kama mleta maada alivyosema, labda kama tungekuwa hatufi ingeleta maana.
Kama watu wa BC hakuna wanachofaidika na kizazi hiki ya nini kuzaana? Si tustop biashara kichaa iishie hapa?

au sisi tumefungwa na kitu fulani ambacho lengo lake ni kitoweo. Kama vile sisi tunavyofuga kuku.

Inafikilisha kwa kweli forget wandugu.
Nina mtoto mmoja, huwa najiuliza kama sio manzi alipata yule dogo nisingezaa..hamna faida yoyote.
 
Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.

Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Kama ulisoma sayansi na ulisoma dini huwezi kuuliza hili swali
 
Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.

Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Bora usingezaliwa.
 
I guess mwenye mada hana mtoto ndo maana hajui faida ya mtoto.

Kwa kifupi dunian kumejaa mambo mengi, usipofanya moja lazima ufanye jingine, waswahili wanasema shuguli huvunjwa na shuguli.

So usipotumia effort katika kushiriki uumbaji basi possibly utatumia nguvu zako na muda katika mambo mengine ppossibly destruction ya mambo ya wengine.

Kwa kifupi unatakiwa uchague nguvu zako utawekeza katika kifanya nn? Sasa wale wenye watoto wanajua faraja inayopatikana kutoka kwa watoto, they smoothy your sorrow.

So chagua tu la kufanya, unaweza kuwa na vidog/vicat vikakushughulisha zaidi ya watoto, na mwingine akawa na watoto wa3-10, halafu wote mkapata mihangaiko sawa katika kuwalea watoto wenu.

Sasa, nani atapata faraja zaidi inategemea na perception ya mtu ila wote lazima mhangaike, na usipohangaika basi utapata la kukuhangaisha
 
I guess mwenye mada hana mtoto ndo maana hajui faida ya mtoto.

Kwa kifupi dunian kumejaa mambo mengi, usipofanya moja lazima ufanye jingine, waswahili wanasema shuguli huvunjwa na shuguli.

So usipotumia effort katika kushiriki uumbaji basi possibly utatumia nguvu zako na muda katika mambo mengine ppossibly destruction ya mambo ya wengine.

Kwa kifupi unatakiwa uchague nguvu zako utawekeza katika kifanya nn? Sasa wale wenye watoto wanajua faraja inayopatikana kutoka kwa watoto, they smoothy your sorrow.

So chagua tu la kufanya, unaweza kuwa na vidog/vicat vikakushughulisha zaidi ya watoto, na mwingine akawa na watoto wa3-10, halafu wote mkapata mihangaiko sawa katika kuwalea watoto wenu.

Sasa, nani atapata faraja zaidi inategemea na perception ya mtu ila wote lazima mhangaike, na usipohangaika basi utapata la kukuhangaisha
Vipi kuhusu ng'ombe, mbuzi na samaki. Wanapata faida gani?
 
I guess mwenye mada hana mtoto ndo maana hajui faida ya mtoto.

Kwa kifupi dunian kumejaa mambo mengi, usipofanya moja lazima ufanye jingine, waswahili wanasema shuguli huvunjwa na shuguli.

So usipotumia effort katika kushiriki uumbaji basi possibly utatumia nguvu zako na muda katika mambo mengine ppossibly destruction ya mambo ya wengine.

Kwa kifupi unatakiwa uchague nguvu zako utawekeza katika kifanya nn? Sasa wale wenye watoto wanajua faraja inayopatikana kutoka kwa watoto, they smoothy your sorrow.

So chagua tu la kufanya, unaweza kuwa na vidog/vicat vikakushughulisha zaidi ya watoto, na mwingine akawa na watoto wa3-10, halafu wote mkapata mihangaiko sawa katika kuwalea watoto wenu.

Sasa, nani atapata faraja zaidi inategemea na perception ya mtu ila wote lazima mhangaike, na usipohangaika basi utapata la kukuhangaisha
So, kama mzazi anapata faraja na furaha kuwa na mtoto, hivyo anapaswa kumuheshimu mwingine ni Mzazi anapaswa kumuheshimu mtoto na si mtoto kumugeshimu mzazi?
 
I guess mwenye mada hana mtoto ndo maana hajui faida ya mtoto.

Kwa kifupi dunian kumejaa mambo mengi, usipofanya moja lazima ufanye jingine, waswahili wanasema shuguli huvunjwa na shuguli.

So usipotumia effort katika kushiriki uumbaji basi possibly utatumia nguvu zako na muda katika mambo mengine ppossibly destruction ya mambo ya wengine.

Kwa kifupi unatakiwa uchague nguvu zako utawekeza katika kifanya nn? Sasa wale wenye watoto wanajua faraja inayopatikana kutoka kwa watoto, they smoothy your sorrow.

So chagua tu la kufanya, unaweza kuwa na vidog/vicat vikakushughulisha zaidi ya watoto, na mwingine akawa na watoto wa3-10, halafu wote mkapata mihangaiko sawa katika kuwalea watoto wenu.

Sasa, nani atapata faraja zaidi inategemea na perception ya mtu ila wote lazima mhangaike, na usipohangaika basi utapata la kukuhangaisha
Umejibu kwa mhemuko, swali ni kiumbe yyoyote yule anapata faida gani akizaa mtoto. Achana na kujikita kwa binadamu tu.

Yaani kwa mfano, ule mwembe unazaa maembe ambayo ndani yana mbegu ambazo zikiota zinakuwa mwembe mwingine. Sasa ule mwembe uliozaa maembe unapata faida gani endapo lile tunda la embe litaota na kuwa mwembe?

Mnyoo jnapata faida gani ukizaa kimnyoo kingine kidogo?


Mjusi anapata faida gani akizaa kamjusi kengine kadogo? Nk
 
Back
Top Bottom