[h=6]Kuna njia mpya inatumiwa na vibaka na wezi wa magari kutoweka kwenye mkono wa sheria kutokana na uhalifu wao. Wanakusanya vocha zilizotumiwa pindi wanapotelekeza gari au kutupa miili ya watu waliowaua na kuacha vocha hizo zilizotumika kwenye tukio. Police wakifika eneo la tukio wanatumia namba za hizo vocha kusaka namba ya simu yamtumiaji wa hiyo vocha. Tayari watu wawili wameshikiliwa keko wameathirika na huu udanganyifu. Tafadhali hakikisha umeharibu vocha yako baada ya kutumia ili nawe usipatwe na janga hili.
Taarifu habari hii na marafiki zako.[/h]
Taarifu habari hii na marafiki zako.[/h]