Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Alifafanua kuwa nchini Tanzania walarushwa ni watu wakubwa na wenye fedha nyingi hivyo hata ikitungwa sheria kama inayotumika nchini China ya kuwanyonga mafisadi hawa, haitofanikiwa kwani watatumia fedha zao kuipindisha.
Spika Sitta aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua kongamano la mwaka la wadau wa kuzuia na kupambana na rushwa, lililoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
Source: Mwananchi
Spika Sitta aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua kongamano la mwaka la wadau wa kuzuia na kupambana na rushwa, lililoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru).
Source: Mwananchi