Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Ndugu wapendwa waweza kuona dunia kila mtu anakuchekea baya ujui nani anakupenda ktk hao wanaokuchekea..
majana kulikuwa na misukule iliochukuliwa na mapepo kwa uweza wa mungu walirudishwa na wengine wakiwa uchi wa mnyama ;;kwa waliokuwa pale ufufo na uzima waliweza kuona wale watu zaidi ya miamojanamsini kibaya zaidi wale watoto wadogo wa miaka 5..mmoja alisema alikwua akitoka shule akaitwa na bibi mmoja kwenye nyumba zile za tanganyika packers..akasema wenzake wakamwambia mbna akuna anaekuita akaishia kuingia kwa huyo bibi...amekuwa akimlisha maji damu na pumba muda wote mpaka watu ndugu zake walipokwenda kuomba waombewe mtoto wao aje..gafla akasikia sauti ya mama yake akawa analia mwisho huyo bibi akamfunga mdomo wakati akiwa anamfunga mdomo akasikia mtu anasema kwajina la yesu herieth njoo kila akiita anaona bbiibi anaanguka gafla akapata nafasi ya kukimbia akakimbilia kwa nyumba ya jirani ambao wakampeleka polisi ...wakiwa ndan ya ibada wale polisi waksema waje kuulizia yawezekana alipotea ndipo mmoja wa ndguze akamwona ...walilia sana
jamani hivi nyie watu kwa nini mnawachukua wenzenu misukule..najaribu kuimagine hao bibi wa tanganyika packerrs wanalala sehemu chafu sasa sielewi lengo lao ni utajiri upi??
Embu juen mungu yupo jamani mtaaibika
majana kulikuwa na misukule iliochukuliwa na mapepo kwa uweza wa mungu walirudishwa na wengine wakiwa uchi wa mnyama ;;kwa waliokuwa pale ufufo na uzima waliweza kuona wale watu zaidi ya miamojanamsini kibaya zaidi wale watoto wadogo wa miaka 5..mmoja alisema alikwua akitoka shule akaitwa na bibi mmoja kwenye nyumba zile za tanganyika packers..akasema wenzake wakamwambia mbna akuna anaekuita akaishia kuingia kwa huyo bibi...amekuwa akimlisha maji damu na pumba muda wote mpaka watu ndugu zake walipokwenda kuomba waombewe mtoto wao aje..gafla akasikia sauti ya mama yake akawa analia mwisho huyo bibi akamfunga mdomo wakati akiwa anamfunga mdomo akasikia mtu anasema kwajina la yesu herieth njoo kila akiita anaona bbiibi anaanguka gafla akapata nafasi ya kukimbia akakimbilia kwa nyumba ya jirani ambao wakampeleka polisi ...wakiwa ndan ya ibada wale polisi waksema waje kuulizia yawezekana alipotea ndipo mmoja wa ndguze akamwona ...walilia sana
jamani hivi nyie watu kwa nini mnawachukua wenzenu misukule..najaribu kuimagine hao bibi wa tanganyika packerrs wanalala sehemu chafu sasa sielewi lengo lao ni utajiri upi??
Embu juen mungu yupo jamani mtaaibika