mapanga3
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 665
- 633
Ktk jamii nyingi kumekuwa na malalamiko mengi juu wapenzi wengi kutokuwa waaminifu kwa wenzi wao juu mahusiana ya kimapenzi, hii inatokea kwa wapenzi, wachumba na hata wanandoa. Wengi wamekuwa wakilalamikia mienendo ya wenzi wao kutokuwa waaminifu ktk suala zima la mahusiano. Kuna baadhi yao wanaamini kuwa na mahusiano ya kimapenzi na zaidi ya mwanamke au mwaume mmoja kama fahari au ujanja au ndio kuwa wakisasa zaidi. Swali langu kwenu ni hili, Je kuwa na uhusiano wa kimapenzi na zaidi ya mwanamke au mwanaume mmoja kinachosabisha ni upendo au tamaa?