Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,136
- 4,197
Mkumbuke kuwa tuna stress za kumwaga. Tunarogwa kila kona.Kazini, nyumbani na hata majiani.
Sasa mtu akinywa pombe jana alafu asubuhi akanywa maji unyunyu ukatema. Sasa hapo ni kosa? Maana hajalewa ila unyunyu unatema.
Mnafoka hovyo kama vile sisi ni watoto wenu.
Tunawastahi tu kutafuna Big G Mashwain nyie . Mnanyanyasa sana watu.
Sasa mtu akinywa pombe jana alafu asubuhi akanywa maji unyunyu ukatema. Sasa hapo ni kosa? Maana hajalewa ila unyunyu unatema.
Mnafoka hovyo kama vile sisi ni watoto wenu.
Tunawastahi tu kutafuna Big G Mashwain nyie . Mnanyanyasa sana watu.