Kuwa bosi isiwe sababu ya kutuhukumu sisi wanywa pombe. Harufu ya pombe sio kulewa. Wewe kutokunywa isiwe kigezo cha kutufokea

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,136
4,197
Mkumbuke kuwa tuna stress za kumwaga. Tunarogwa kila kona.Kazini, nyumbani na hata majiani.

Sasa mtu akinywa pombe jana alafu asubuhi akanywa maji unyunyu ukatema. Sasa hapo ni kosa? Maana hajalewa ila unyunyu unatema.

Mnafoka hovyo kama vile sisi ni watoto wenu.

Tunawastahi tu kutafuna Big G Mashwain nyie . Mnanyanyasa sana watu.
 
Mkumbuke kuwa tuna stress za kumwaga. Tunarogwa kila kona.Kazini, nyumbani na hata majiani.

Sasa mtu akinywa pombe jana alafu asubuhi akanywa maji unyunyu ukatema. Sasa hapo ni kosa? Maana hajalewa ila unyunyu unatema.

Mnafoka hovyo kama vile sisi ni watoto wenu.

Tunawastahi tu kutafuna Big G Mashwain nyie . Mnanyanyasa sana watu.
Haaahaa,
Unatufokea ma boss
 
That reminds me of our proverb Which says that " An Elephant 🐘 that swims in coconut oil doesn't use ATM to buy meat from the pharmacy.🙂
 
Jitahidi unapokunywa pombe angalau asubuhi upate tunda hususani ndizi mbivu kabla ya kujichanganya na watu.

Ukipiga mdalasini na mchai chai asubuhi kikombe kimoja na hiyo ndizi unakuwa safi kabisa.

Kumbuka harufu ya pombe haitoki mdomoni. Harufu inatoka tumboni huko... Hivyo kula bublish haisaidii kitu... Inatoa relief ya muda kwako unaeitafuna... Ila unaeongea nae anapata puya la machicha uliyobugia.
 
Back
Top Bottom