Inapofikia suala la kuuzwa kwa mchezaji,ni nani mwenye uamuzi wa mwisho??ni mchezaji binafsi au ni timu inayommiliki?
Na ikitokea utata katika pande mbili inakuaje!!upande wa mchezaji hataki kuuzwa ila uongozi wa timu unataka kumuuza.
timu yake ndio waajiri wake - zinaitwa player registration documents. Mchezaji hana jeuri lakini aweza kuringa mshahara upandishwe. Angalia/Google ya Tevez leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.