Yeyote atakaye miliki mgodi huo anafaida ya kupata mkaa, Iron Ore na Uranium. Itakuwa ni uzembe wa kurudia kuuza mgodi wenye vyote hivi kwa bei ya kimoja. Sawa na kuuza migodi ya buliyankulu, buzwagi na mengineyo kwa kuchimba dhahabu kumbe wachimbaji wanapata faida ya Platinium na Uranium. Itakuwa ni uzembe wa maksudi.