Kuuza nchi maana yake nini?

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Mar 1, 2016
12,695
31,499
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF

Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni

Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa.

Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi?

Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote kwenye territory ya Tanzania na kuwahamisha kusikojulikana na kuwapa wageni ardhi na rasilimali zote.

Aidha, ukifuatilia kwa makini utagundua dhana hii ya kuuza nchi inatumika deliberately kuonesha dissatisfaction pale kwenye hisia kwamba, pengine wageni watapata fursa ya kutumia au kuendesha rasilimali zetu.

Kimsingi, ile unfounded fear of unknown and to be exposed to unfamiliar territories loads to speculation kwamba pengine tunapigwa, hence nchi inauzwa.

Kukosekana kwa taarifa, deliberately or by calcution, kuna wapa wananchi no option other than concluding that nchi inauzwa.

Bado naendelea kusisitiza, taarifa rasmi zitolewe. Nchi siyo maharage au maandazi kwamba yanaweza kuuzwa.

Linalopaswa kusemwa lisemwe, wananchi wapime, taharuki zikome.
 
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF

Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni

Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa.

Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi?

Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote kwenye territory ya Tanzania na kuwahamisha kusikojulikana na kuwapa wageni ardhi na rasilimali zote.

Aidha, ukifuatilia kwa makini utagundua dhana hii ya kuuza nchi inatumika deliberately kuonesha dissatisfaction pale kwenye hisia kwamba, pengine wageni watapata fursa ya kutumia au kuendesha rasilimali zetu.

Kimsingi, ile unfounded fear of unknown and to be exposed to unfamiliar territories loads to speculation kwamba pengine tunapigwa, hence nchi inauzwa.

Kukosekana kwa taarifa, deliberately or by calcution, kuna wapa wananchi no option other than concluding that nchi inauzwa.

Bado naendelea kusisitiza, taarifa rasmi zitolewe. Nchi siyo maharage au maandazi kwamba yanaweza kuuzwa.

Linalopaswa kusemwa lisemwe, wananchi wapime, taharuki zikome.
Mkuu,

Asante kwa hoja muhimu na tata.

Kuna mambo kumi naweza kuyataja kwenye hili.

Moja ya tabia za uuzaji wa nchi ni kuingia mikataba ambayo haituwezeshi kjiongeza kielimu kuendesha nchi yetu wenyewe.

Hatujiongezi kwenye kupata makampuni zaidi ya wazawa ya kuweza kujifunza na kuendesha mambo zaidi.

Hata kwenye Bandari, kuna watu washashinda kesi za Bandari hapo London Internation Court of Arbitration. Wapo,wanaishi bado.

Lakini,serikali hata haijawaonesha mkataba huu na kuwauliza kama unafaa au haufai.

Yani una MVP wako wamestaafu, halafu hata huwaulizi mchezo walioshinda London Court of Arbitration walishinda vipi?

Hapo watu wakilia rushwa, huwezi kuwalaumu.
 
Mkuu,

Asante kwa hoja muhimu na tata.

Kuna mambo kumi naweza kuyataja kwenye hili.

Moja ya tabia za uuzaji wa nchi ni kuingia mikataba ambayo haituwezeshi kjiongeza kielimu kuendesha nchi yetu wenyewe.

Hatujiongezi kwenye kuoata makampuni zaidi ya wazawa ya kuweza kujifunza na kuendesha mambo zaidi.

Hata kwenye Bandari, kuna watu washashinda kesi za Bandari hapo London Internation Court of Arbitration. Wapo,wanaishi bado.

Lakini,serikali hata haijawaonesha mkataba huu na kuwauliza kama unafaa au haufai.

Yani una MVP wako wamestaafu, halafu hata huwaukizi mchezo waluoshinda Lindon Court of Arbitration walishinda vipi?

Hapo watu wakilia rushwa, huwezi kuwalaumu.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Mkuu ,
Nina appreciate kwa kuelewa hii hoja fikirishi.

Hakika nakubaliana na comment yako, tuendelee kutafakari.
 
Amani iwe mioyoni mwenu wana JF

Wahenga wanasema: mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni

Kwa kipindi kifupi, hadithi zimekua nyingi sana, na dhima kuu ni kwamba nchi inauzwa.

Sasa basi, nini maana ya kuuza nchi?

Literally, unaweza ukafanya presumption kwamba serikali inatoa watu wote kwenye territory ya Tanzania na kuwahamisha kusikojulikana na kuwapa wageni ardhi na rasilimali zote.

Aidha, ukifuatilia kwa makini utagundua dhana hii ya kuuza nchi inatumika deliberately kuonesha dissatisfaction pale kwenye hisia kwamba, pengine wageni watapata fursa ya kutumia au kuendesha rasilimali zetu.

Kimsingi, ile unfounded fear of unknown and to be exposed to unfamiliar territories loads to speculation kwamba pengine tunapigwa, hence nchi inauzwa.

Kukosekana kwa taarifa, deliberately or by calcution, kuna wapa wananchi no option other than concluding that nchi inauzwa.

Bado naendelea kusisitiza, taarifa rasmi zitolewe. Nchi siyo maharage au maandazi kwamba yanaweza kuuzwa.

Linalopaswa kusemwa lisemwe, wananchi wapime, taharuki zikome.
Huu mkataba bado haujaeleweka vyema kwa raia. Isitoshe nguvu kubwa inayotumika kuutetea inatia wasiwasi.
 
Hata ardhi yetu wangepewa watu wenye uwezo wa kuitumia kuzalisha kuliko kujaza mapori tu ya kufugia ndege yasiyo na faida,check mfano wa hizi ranchi za taifa Kama Ile ya ruvu nk Zina faida gani kwa nchi apewe mtu azalishe karanga,ufuta,mahindi nk ili vijana wapate ajira na Sio kuwa madalali wa kukuza uchumi wa China kupitia bodaboda na machinga halafu ni graduate ni matumizi mabaya sana ya nguvu kazi.
 
🐒
20230620_081758.jpg
 
Hata ardhi yetu wangepewa watu wenye uwezo wa kuitumia kuzalisha kuliko kujaza mapori tu ya kufugia ndege yasiyo na faida,check mfano wa hizi ranchi za taifa Kama Ile ya ruvu nk Zina faida gani kwa nchi apewe mtu azalishe karanga,ufuta,mahindi nk ili vijana wapate ajira na Sio kuwa madalali wa kukuza uchumi wa China kupitia bodaboda na machinga halafu ni graduate ni matumizi mabaya sana ya nguvu kazi.
Uko sahihi sana
 
Ukweli useme hatuwezi endesha miradi wapewe wenye uwezo tugawane faida au tununue management ya kutusimamia plus management ya kufanya auditing ya wanaosimamia miradi yetu ili wasituibie hata baadhi ya nchi za Asia ndicho wafanyavyo.
SISI tumalizane kwanza na kuiondoa roho ya ubinafsi na uzembe Kwanza
 
Back
Top Bottom