Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Kukatika na kurudi kwa kasi kwa umeme kumesababisha fridge na jiko tulilonalo liungue. Nifanyeje kuwa shitaki kwa ajili ya kutulipa fidia hawa Tanesco?! Inauma sana kuona hivi vifaa vinaharibika kwa sababu za hitilafu za umeme. Je, kuna sheria yoyote inaweza kutumika kuwabana hawa Tanesco? Please help.