Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Mwanakijiji anajulikana kuwa ni ADUI wa zitto so usitegemee makala ilio fair. toka kwake........
Hakuna kiongozi wa CDM ambaye hata soma hilo nina uhakika nalo.hii makala natamani sana Tindu Lissu na Lema wangeisoma
Ni matumaini yangu, makala itasaidia kunielewesha juu ya tofauti kati ya Nidhamu ya uoga na nidhamu halisi.
Itaelezea kwa kina je kutokutii Amri haramu ni sehemu mojawapo ya nidhamu?.
Je nidhamu ya kijeshi ni Universal?, kwamba hiyo hiyo ndiyo inayotakiwa katika orgization za kisiasa, au hata bureaucratic institutions?.
Na pia Itasaidia kuelezea mchakato wa haki, ni utaratibu gani ambao ni mujarrab wa utoaji haki kwa mwanachama, ili isije ikawa kutofautiana na mwanachama fulani ikachukuliwa kuwa umetofautiana na Chama kizima.
Mwanakijiji anajulikana kuwa ni ADUI wa zitto so usitegemee makala ilio fair. toka kwake........
Mwanakijiji anajulikana kuwa ni ADUI wa zitto so usitegemee makala ilio fair. toka kwake........
wataielewa?hii makala natamani sana Tindu Lissu na Lema wangeisoma
Hii sahihi yako Kinana hajakupigia? Maana mikumi si habaMakala nzuri sana hii na nimeshaikopi sehemu salama nasubiri na hiyo ya kesho.
Ngoja si comment hadi imefikw mwisho makala hii
Kwanini?? kuna kitu gani wakisubiria
kwani wengine mnakuja kufanya biashara hapa eeh..........??
AshaDiiWakuu,
Hii hoja ameleta Mwanakijiji ni msingi saana, ni moja ya nakala ukisoma, ikasomwa na ile ya Duru ya Siasa inayo endelea pale Great Thinkers (https://www.jamiiforums.com/great-t...-kambi-ya-upinzani-chadema-3.html#post8060971)Chadema wanaweza kabisa ku reform for the better toka walipo hapa (pabaya) kuelekea kuimarika zaidi. 2015 Siyo mbali.
Kuna members ambae akijibu hoja kwa kuendeshwa na hisia ama ushabiki humshangai sababu hakuna mahala umewahi kuona akijenga hoja hivyo uwezo wake wa kuchambua na kutazama mambo unakua hujui, uchakulia uwezo wake wa kuwakilisha ni mdogo hivyo hashangawi.
Inapotokea hoja ya msingi na makala nzuri kama hii aliyoweka leo Mwanakijiji akaja mzoefu wa Jukwaa kama ZeMarcopolo ama Tuko ambao nawajua vema kwa uchambuzi makini wakiamua wakaweka hoja za ku divert mjadala, huwa nasikitika saana. Na zaidi nawasikitikia Watanzania wengi ambao wanahitaji ukombozi toka kwa wale wenye uwezo wa kuwakomboa lakini badala yake nafasi hiyo inatumika vibaya.
Tuache ushabiki na tubadilike. Tujadilini hoja, tujifunze, na kujifunza kunakuja hata kwa kufuatilia na kuwa msomaji si lazima kila mmoja aka post (hili ni kwa wale wanaojibu kila kitu kwa kuendeshwa na hisia).
DISCLAIMER: Kaka zangu sisemi kua hizi ni tabia zenu, nimegusia sababu hapa ndicho mlichokifanya; ikiwa nimewakwaza naomba in advance mnisamehe.
Mzee Mwanakijiji, this is a great written peace. Looking forward to itakavyoendelea.