Kutoka Mahakamani: Rufaa ya dhamana ya Mbunge Lema yasikilizwa, yapigwa kalenda

Mawakili wajipange lema aachiwe...sema so vyema kuota ota..lema aachiwe

Lema ana haki zote Kikatiba na Kisheria kutoka kwa dhamana!
Tunajua kinachoendelea hapo Arusha ni figisu figisu za kipumbaf za kupindisha sheria ili Lema aendelee kusota rimande!

Kosa lenyewe ni NDOTO! Sijui tangu lini nchi yetu imeanza kushtaki na kufunga watu kwa kosa la ndoto inayomhusu Rais!!!??
Hivi nani atakuwa shahidi wa hiyo ndoto? Kitanda, usingizi au Mungu?
Kuna watalaamu wa kufasiri ndoto, alikuwepo Sheikh Yahya Hussein(RIP)kwa vile hayupo hai lakini yuko mtoto wake aliyerithishwa mikoba basi tunaomba kesi ikianza kuunguruma aitwe Mahakamani atueleze maana ya ndoto ya Lema!
Nakumbuka baba yake Sheikh Yahya Hussein kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2005 alitabiri/aliota Tanzania ingelipata Rais mwanamke! Baada ya Uchaguzi na JK kuchaguliwa alipoulizwa Sheikh Yahya akasema JK ni handsome na anafanana na mwanamke! Mbona Serikali haikumshtaki Mnajimu yule kwa kutamka hayo?
 
Chadema bana,hivi huwa wanadhani kurundikana mahakamani ndio kunaweza kubadili maamuzi ya mahakama?
Wasipo enda mnasema wamsusa, kwa mfano kuna mtu aliandika humu kuwa hata msigwa na lissu hawataki kumwona
 
Mh Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ataendelea kukaa magereza kisongo mpaka hadi tar 14 Desember 2016 ambapo mahakama itatoa maamuzi ya Rufaa iliyosomwa leo mbele ya Jaji Dr Opio.
 
Mh Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amerudishwa Rumande hadi tar 14 Desember 2016 ambapo mahakama itatoa maamuzi ya Rufaa iliyosomwa leo mbele ya Jaji Dr Opio.

Watanzania na wapenda Haki duniani kote hawakubaliani na huu upuuzi jnaofanyika kwenye Mahakama Kuu Arusha!
Tatizo ni kwamba hawa Majaji na Waendesha mashtaka wa Serikali wanaendesha kesi hii kwa maelekezo toka Juu(JPM).
Swala la Lema limechukua muda too long unnecessary! Sheria iko wazi hii gozigozi ya nini? Kwanini huyu Jaji asingetoa maamuzi leo kwa vile ni kitu kinaeleweka?Why refer to 14.12.2016??

Juzi JPM alipotembelea Magereza alisistiza Wafungwa wasile chakula cha bure! Hivi unapomweka mtu Rimande mwezi au miezi akila bure JPM haoni kuwa hili ni tatizo? Acha sheria ichukue mkondo ili mtu atiwe hatiani na ahukumiwe kifungo kulingana na kosa ili akafanye kazi ngumu kugharamia kifungo chake!
Kitendo cha kumweka mtu mahabusu miezi/miaka siyo kumkomoa mtu baali ni kuikomoa serikali kwa kusababisha gharama za kijinga! Shame on you CCM Govt!!!!
 
Chadema bana,hivi huwa wanadhani kurundikana mahakamani ndio kunaweza kubadili maamuzi ya mahakama?

hata wewe ukiwa na ndugu yako mahakamani mtarundikana. hakuna mtu anakwenda mahakamani peke yake unless huna ndugu au rafiki. sioni cha ajabu hapa.
 
Mwenyewe si alisema mawakili wake wasihangaike kumchukulia dhamana kwa kuwa yeye anapigania haki? Na kukaa rumande kwa mpigania haki ni kama uji na mgonjwa?
 
sawa sawa na watu wengi kwenda kumuona mgonjwa hospitali ,hakusaidii chochote ila ni utamaduni wetu sisi watanzania kufarijiana wakati wa shida.na hiyo ni ishara moja wapo ya urafiki wa kweli na mshikamano thabiti.
Au kuhudhuria msibani watu wengi siyo kumfufua maiti. Kufarijiana ndo utamaduni wetu
 
Lema ana haki zote Kikatiba na Kisheria kutoka kwa dhamana!
Tunajua kinachoendelea hapo Arusha ni figisu figisu za kipumbaf za kupindisha sheria ili Lema aendelee kusota rimande!

Kosa lenyewe ni NDOTO! Sijui tangu lini nchi yetu imeanza kushtaki na kufunga watu kwa kosa la ndoto inayomhusu Rais!!!??
Hivi nani atakuwa shahidi wa hiyo ndoto? Kitanda, usingizi au Mungu?
Kuna watalaamu wa kufasiri ndoto, alikuwepo Sheikh Yahya Hussein(RIP)kwa vile hayupo hai lakini yuko mtoto wake aliyerithishwa mikoba basi tunaomba kesi ikianza kuunguruma aitwe Mahakamani atueleze maana ya ndoto ya Lema!
Nakumbuka baba yake Sheikh Yahya Hussein kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2005 alitabiri/aliota Tanzania ingelipata Rais mwanamke! Baada ya Uchaguzi na JK kuchaguliwa alipoulizwa Sheikh Yahya akasema JK ni handsome na anafanana na mwanamke! Mbona Serikali haikumshtaki Mnajimu yule kwa kutamka hayo?
Wewe!hahahahahahahahaha
 
#Arusha_Update : Mh Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amerudishwa Rumande hadi Tarehe 14 Desember 2016 ambapo mahakama itatoa maamuzi ya Rufaa iliyosomwa leo mbele ya Jaji Dr Opio.
Mpaka Christmas ipite.. [HASHTAG]#Lema[/HASHTAG] juzi si aliwaambia mawakili wasiangaike tena sasa alikuja kufanya nini mahakamani Leo Lema, angebaki huko huko Rumande.. Eti msiangaike alafu Leo anakuja tena mahakamani.. Namshauri Lema ata tarehe 14 asije mahakamani yeye si amesema mpaka dola itakapo amua
 
Mpaka Christmas ipite..
[HASHTAG]#Lema[/HASHTAG] juzi si aliwaambia mawakili wasiangaike tena sasa alikuja kufanya nini mahakamani Leo Lema, angebaki huko huko Rumande.. Eti msiangaike alafu Leo anakuja tena mahakamani.. Namshauri Lema ata tarehe 14 asije mahakamani yeye si amesema mpaka dola itakapo amua
Asipokuja wewe utafaidika na kipi?
 
Back
Top Bottom