MR. DRY
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 637
- 122
Nipo hapa kituo cha polisi, kitu kinachoendelea jambazi mmoja aliyesadikiwa kuwa na silaha katika begi amepigwa na polisi hadi kufariki na kupelekwa mawenzi hospital.
Kisa:
coaster inayofanya safari kati ya moshi na rombo ilikuwa imebeba abira akiwa na huyo jambazi. Polisi walipata taarifa na kulifuatilia gari, kufika kituoni jamaa aligoma kushuka na kuliachia begi lililokuwa na risasi nyingi pamoja na silaha, ndipo polisi walipotembeza kicha hadi kupelekea mauti. Coaster bado limeshikiliwa kituoni pamoja na abiria wote.
Nawasilisha.
Kisa:
coaster inayofanya safari kati ya moshi na rombo ilikuwa imebeba abira akiwa na huyo jambazi. Polisi walipata taarifa na kulifuatilia gari, kufika kituoni jamaa aligoma kushuka na kuliachia begi lililokuwa na risasi nyingi pamoja na silaha, ndipo polisi walipotembeza kicha hadi kupelekea mauti. Coaster bado limeshikiliwa kituoni pamoja na abiria wote.
Nawasilisha.