Ni tatizo nenda kituo cha afya / hospitaliNi muda wowote.
Labda mtoaji maada ungetueleza kwa ufupi historia ya hiyo hali.
kwani kwa kifupi tu naweza kukujibu kuwa inaweza kuwa ni tatizo au siyo tatizo na nikawaida.
Nina muda wa 4 moths cjafanya mapenzi na hii hal imeanza kunipata ni mwezi mmoja sasa. Ni kwamba kuna wakat nahisi kama kuna vitu vinapasukapasuka ukeni na nikiingiza kidole natoa kitu kama povu. Ni nini hicho?
unahitaji kujamiiwa .....
Tafadhali ni-PM..........!!!
Mmmmh Kimbweka!
Mmmmh Kimbweka!
unahitaji kujamiiwa .....
Tafadhali ni-PM..........!!!
Usiingize tena vidole huko. Hiyo tabia ya kuingiza ingiza vidole huko ndiyo chanzo cha tatizo. labda kama unapafanyia usafi.Nina muda wa 4 moths cjafanya mapenzi na hii hal imeanza kunipata ni mwezi mmoja sasa. Ni kwamba kuna wakat nahisi kama kuna vitu vinapasukapasuka ukeni na nikiingiza kidole natoa kitu kama povu. Ni nini hicho?
mmnh..Hilo nalo neno.Huo ute unatoka wakt wa kujamiiana au unatoka mda wowote?
Heheheheheeeh..Jaman kwel?!unahitaji kujamiiwa .....
Tafadhali ni-PM..........!!!