omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Habari zenu wana jf.
Ama kweli 'waswahili' tunazidi kukataliwa uwanja wa kustarehe.
Tofauti na madai ambayo yamekuwa maarufu na hasa kwa majirani zetu Uganda na Kenya kuwa kutahiri wanaume kunaweza kupunguza maambukizi ya ugonjwa hatari wa UKIMWI kwaasilimia 60, kundi linguine la watafiti limepinga utafiti huo lilisema kuwa kwa kuamini hivyo itaongeza maambukizi ya HIV/Aids na inaweza kupunguza maambukizi kwa asilimia 1.3 tu kwa kiwango cha juu.
Doctors circumcise a man at Kibuli hospital. According to a new study, circumcision does not reduce the spread of HIV.
Habari zaidi hii hapa:
http://www.monitor.co.ug/News/National/-/688334/1360190/-/axfghjz/-/index.html
Ama kweli 'waswahili' tunazidi kukataliwa uwanja wa kustarehe.
Tofauti na madai ambayo yamekuwa maarufu na hasa kwa majirani zetu Uganda na Kenya kuwa kutahiri wanaume kunaweza kupunguza maambukizi ya ugonjwa hatari wa UKIMWI kwaasilimia 60, kundi linguine la watafiti limepinga utafiti huo lilisema kuwa kwa kuamini hivyo itaongeza maambukizi ya HIV/Aids na inaweza kupunguza maambukizi kwa asilimia 1.3 tu kwa kiwango cha juu.
Doctors circumcise a man at Kibuli hospital. According to a new study, circumcision does not reduce the spread of HIV.
Habari zaidi hii hapa:
http://www.monitor.co.ug/News/National/-/688334/1360190/-/axfghjz/-/index.html