MZEE WA KARATU
Member
- Apr 26, 2012
- 15
- 9
Viongozi wa Chadema wasimamishwa Wilayani Karatu. Viongozi hao ni Katibu wa Wilaya Bw. Laureti Malkio Botha, Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya Bw. Joseph Samwel Mtui na Katibu wa BAWACHA Wilaya Bw. Melkiori D. Mao