Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Huu ni mjadala wa kubadilishana mawazo kitaaluma. Hivyo kama unataka kumpa ongera Baraka Obama, nakushauri fanya hivyo kwenye thread nyingine.
Jana nilipokuwa naangalia matangazo kutoka katika Boston na Chicago niliona vitu viwili muhimu. Kitu cha kwanza kwenye kambi Romney waliokuwa wanasubiri matokeo wengi walikuwa wazee na wazungu. Kitu cha pili katika kambi iliyokuwepo Chicago, wengi walikuwa ni vijana na vilevile kutoka jamii mbalimbali.
Ukichunguza vitu hivi viwili kwa makini, unaweza kusema kuwa Obama amechaguliwa sio kwa sababu anamzidi Romney kiutendaji wa kazi. Amechaguliwa kwa sababu ya muundo wa jamii zilizopo Marekani. Hii ni sababu moja na zinaweza kuwepo zingine.
Ningeomba tuzichambue hizo sababu hili tujifunze.
Z10
Jana nilipokuwa naangalia matangazo kutoka katika Boston na Chicago niliona vitu viwili muhimu. Kitu cha kwanza kwenye kambi Romney waliokuwa wanasubiri matokeo wengi walikuwa wazee na wazungu. Kitu cha pili katika kambi iliyokuwepo Chicago, wengi walikuwa ni vijana na vilevile kutoka jamii mbalimbali.
Ukichunguza vitu hivi viwili kwa makini, unaweza kusema kuwa Obama amechaguliwa sio kwa sababu anamzidi Romney kiutendaji wa kazi. Amechaguliwa kwa sababu ya muundo wa jamii zilizopo Marekani. Hii ni sababu moja na zinaweza kuwepo zingine.
Ningeomba tuzichambue hizo sababu hili tujifunze.
Z10