Chum Kane
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 1,133
- 903
Tunajua Joseph Kusaga yupo karibu sana na Diamond (Diamond Karanga, Wasafi media). Pia tunasikia Clouds Media wana beef na Wasafi. Kumbuka Kusaga ni Mkurugenzi wa Clouds na Ruge ni mkurugenzi wa vipindi. Swali langu. Hili beef la wasafi na Clouds linachanganya. Je nani boss hasa pale clouds? Ni Ruge au ni Kusaga? Karibuni wana jamvi.