AbasMzeEgyptian
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 407
- 312
Jesph, Mkewe Juhaina na mtoto wao pamoja na Chaka Khan.
Apparently Joseph kusaga alipewa sharti la kumwoa yule binti wa Kingazija (Juhaina) wakati alipokuwa anafanya kazi pale Greenland Bank. Sharti lenyewe asilim ili apate ruksa ya kuoa. Waislam wanawake hawaruhusiwi kuolewa na wanaume wasio waislam unless huyo mwoaji awe amesilim, na zaidi ya hayo huyu mkewe anayoka kwenye family iliyona msimamo sana wa dini na jina la Jeseph likawa Yusuph Kusaga baada ya kusilim
Mashaallah Ustaadh Kusaga tupo pamoja!