Kurugenzi ya Fedha ya Acacia yasema haina kiasi cha dola milioni 300 za kuilipa Tanzania

Walisema tutanyolewa bila maji. Wakasema kwenye mazungumzo tumepigwa, sasa wanasema Accacia hawatalipa. Acheni ubwege nyie. After all mazungumzo hayajaihusisha Accacia. Mwambieni huyo mjinga mwenzenu anawalisha maneno ya uongo mnyamaze watu tufanye kazi zetu. Nyie subirini kuchukua nchi kwenye maisha yajayo (In next life) Hapo nasisitiza.
Kaka punguza jazba,ondosha hisia katika hili,fanya utafiti ujiulize kwanini Accacia ndio walipe hilo deni,kama ulisikiliza hotuba ya John L thornton utafahamu kwanini Accacia imeingia katika hili sakata wakati Tanzania ilifanya mkataba na Barrick.....
 
Sasa ushindi tulioshinda sisi ni upi?Maana tulitangaziwa kuwa tumeshinda.Je tatizo ni lugha?Au tumeshinda mazungumzo badala ya kushinda sheria?
 
NAJIULIZA
Sakata hili la madini limenifanya nijiulize maswali yafuatayo.
1.Nini Maana ya kusema Major stakeholder ndiye anayehusika kwenye majadiliano?

2. Ile hoja ya kwamba major stakeholder ndiye mwenye sauti inaishia kwenye majadiliano tu?.

3.Kwanini Baada ya major stakeholder (Barrick) kukubali kulipa, bado Accacia wanasema hawana uwezo Wa kulipa?

4.Au Huu utaratibu Wa kusema Major stakeholder ndo mwenye sauti kwenye majadiliano ndo ulikuwa mtego?

5. Je Acacia wanapaswa kujibizana na Serikali au Barrick(Major stakeholders)?.

Naomba msaada kwa anayeweza kunijibu.
 
Wewe ni slow learner?,hata hivyo ngoja nione nitakusaidia namna fani?

Mchina wajF.
Na washawasha!

Bado sikuelewi, Mchina....

Is not an issue of being a slow learner because you have nothing......absolutely nothing that makes me learn anything from you....!!

Muhimu ni kwako wewe kujitahidi kuandika vizuri, kwa ufasaha ili kila akusomaye akuelewe kwa urahisi...!!

That was my point..., umeelewa sasa??
 
Imekuwa hivyo wakati jana tu baraki walikubali kulipa hawa Akasia hata sisi tu hatuwatambui kuwa wasemaji wa mgodi
Wekeni kumbukumbu sawa! Hawakukubali kulipa, ila walikubali kutoa bilioni 700 ili kuonyesha nia njema! Maana yake walichoahidi kutoa kwa kuwa siyo deni huwezi kuwadai popote! Ndiyo maana wanaonyesha nyodo!
 
NAJIULIZA
Sakata hili la madini limenifanya nijiulize maswali yafuatayo.
1.Nini Maana ya kusema Major stakeholder ndiye anayehusika kwenye majadiliano?

2. Ile hoja ya kwamba major stakeholder ndiye mwenye sauti inaishia kwenye majadiliano tu?.

3.Kwanini Baada ya major stakeholder (Barrick) kukubali kulipa, bado Accacia wanasema hawana uwezo Wa kulipa?

4.Au Huu utaratibu Wa kusema Major stakeholder ndo mwenye sauti kwenye majadiliano ndo ulikuwa mtego?

5. Je Acacia wanapaswa kujibizana na Serikali au Barrick(Major stakeholders)?.

Naomba msaada kwa anayeweza kunijibu.

Hivi ipi convenient zaidi, unanegotiate na mbia ( Barick) au na Management ( Acacia)?
 
Mkuu nimekwazika sana halafu wanavojisifu eti iyo tume imeongozwa na "mbobezi" wa masuala ya kisheria uyo Profesa Kala Magamba...sasa mbobezi wa levo ya uprofesa badala uende kukomaa ulipwe trilioni 400 kama walivyodai wanadai...anaenda kuambiwa atalipwa "kikazio uaminifu"
Hii nchii hii...hakuna neno nalichukia kama neno "wasomi" tena wa levo uprofesa

Mkuu Stanley, Et Profesa Kala Magamba!!!! Hahahahaaaa!!.
Wewe ni miongoni mwa ma'great thinker wachache waliobakia Tz
 
Taarifa za hivi punde kutoka DW idhaa ya kiswahili, imesema mamlaka ya juu kabisa toka kwa kurugenzi ya fedha ya Barrick imesema haina pesa za kuilipa Tanzania 300$m kama ilivyokubaliwa katika mazungumzo baina ya Tanzania na Barrick hivi karibuni.

Ni habari ya hivi punde kutoka Radio DW ya Ujerumani Leo mchana, idhaa ya Kiswahili.

Hii tuseme ni janja ya makampuni ya kibeberu yanayotumia mbinu nyingi kuzinyonya inchi za kiafrica?.

Zitto Kabwe ahojiwa na kuilaumu Serikali ya Tanzania kuvujisha habari ambayo kimsingi haikuridhiwa na Acacia Jana.



=====

Acacia Mining says cannot pay $300 million to Tanzania upfront

Oct 20 (Reuters) - Gold miner Acacia Mining Plc does not have the ability to make a $300 million payment to the Tanzanian government to resolve a tax dispute, Chief Financial Officer Andrew Wray said on a call with analysts.

Acacia’s majority stakeholder, Barrick Gold, on Thursday reached an agreement with Tanzania that included a $300 million payment by Acacia and splitting of ‘economic benefits’ from operations with the Tanzanian government. (Reporting by Sanjeeban Sarkar in Bengaluru; Editing by Sunil Nair)


Source: Acacia Mining says cannot pay $300 mln to Tanzania upfront
bado lugha gongana. HIYO LUGHA YA NIA NJEMA,ILIKUWA NI KUTOA OVER A PERIOD OF TIME. SASA HWA WAJAMAA WAKAANZA JENGA JUKWAA LA KUCHAFUA WATU KISWAHILI,ILI KUCHUKUA SIFA KISIASA. Sasa wamechafua zaidi hewa, hiyo hela jamaa waliyokubali kuchangia kidogo kidogo hadi ifikie hiyo $300Mn kwa rafiki yao ambaye mrabaha unakatika kabla mwezi haujaenda, watajifikiria jinsi ya kuitoa au wapige dash..
 
NAJIULIZA
Sakata hili la madini limenifanya nijiulize maswali yafuatayo.
1.Nini Maana ya kusema Major stakeholder ndiye anayehusika kwenye majadiliano?

2. Ile hoja ya kwamba major stakeholder ndiye mwenye sauti inaishia kwenye majadiliano tu?.

3.Kwanini Baada ya major stakeholder (Barrick) kukubali kulipa, bado Accacia wanasema hawana uwezo Wa kulipa?

4.Au Huu utaratibu Wa kusema Major stakeholder ndo mwenye sauti kwenye majadiliano ndo ulikuwa mtego?

5. Je Acacia wanapaswa kujibizana na Serikali au Barrick(Major stakeholders)?.

Naomba msaada kwa anayeweza kunijibu.
itakua account ya migodi hii iko chini ya acasia,hawachanganyi,barick corp wana migodi mingi,hii ya kwetu iko chini ya acasia japo yenyewe inamilikiwa na Barick,
sasa hawa wanapobisha kulipa ni by design,kwani barick anaweza kulipa kutoka katika gawio lake linalotokana na share zake 64%,

katika ile board ,barick ana wajumbe 2,
acasia mjumbe 1 na independent shareholder wana wajumbe 2,utaona mwenyewe ikija kwenye kupiga kura ya maamuzi,barick atashindwa,na acasia ndo ana kura ya maamuzi aegemee kwa kampuni mama,yaani barick ama aungane na wale shareholder wengine
 
NAJIULIZA
Sakata hili la madini limenifanya nijiulize maswali yafuatayo.
1.Nini Maana ya kusema Major stakeholder ndiye anayehusika kwenye majadiliano?

2. Ile hoja ya kwamba major stakeholder ndiye mwenye sauti inaishia kwenye majadiliano tu?.

3.Kwanini Baada ya major stakeholder (Barrick) kukubali kulipa, bado Accacia wanasema hawana uwezo Wa kulipa?

4.Au Huu utaratibu Wa kusema Major stakeholder ndo mwenye sauti kwenye majadiliano ndo ulikuwa mtego?

5. Je Acacia wanapaswa kujibizana na Serikali au Barrick(Major stakeholders)?.

Naomba msaada kwa anayeweza kunijibu.
itakua account ya migodi hii iko chini ya acasia,hawachanganyi,barick corp wana migodi mingi,hii ya kwetu iko chini ya acasia japo yenyewe inamilikiwa na Barick,
sasa hawa wanapobisha kulipa ni by design,kwani barick anaweza kulipa kutoka katika gawio lake linalotokana na share zake 64%,

katika ile board ,barick ana wajumbe 2,
acasia mjumbe 1 na independent shareholder wana wajumbe 2,utaona mwenyewe ikija kwenye kupiga kura ya maamuzi,barick atashindwa,na acasia ndo ana kura ya maamuzi aegemee kwa kampuni mama,yaani barick ama aungane na wale shareholder wengine
 
Taarifa za hivi punde kutoka DW idhaa ya kiswahili, imesema mamlaka ya juu kabisa toka kwa kurugenzi ya fedha ya Barrick imesema haina pesa za kuilipa Tanzania 300$m kama ilivyokubaliwa katika mazungumzo baina ya Tanzania na Barrick hivi karibuni.


Source: Acacia Mining says cannot pay $300 mln to Tanzania upfront

Kama kuna watu ambao siwapi umakini wa kuwasikiliza sana ni Acacia. Mwisho wa siku ni kweli Acacia wanaweza wasiweze kulipa kiasi hicho.. lakini je Barrick hawana kiasi hicho chote.
 
Back
Top Bottom