Ilulu
Senior Member
- Mar 22, 2008
- 161
- 31
Ni hivi punde tu Mwakilishi wa EU akiwa antoa tathmini yake ya awali emesema uko Lindi kuna irregularities kiasi eti mmoja wa wanafamilia anawapigia wengine katika familia yake.
Unless sikumwelewa vizuri (lugha).. Hii haiko njema na sielewi imewezekana vipi NEC au wasimamizi WAKAIRUHUSU.
Unless sikumwelewa vizuri (lugha).. Hii haiko njema na sielewi imewezekana vipi NEC au wasimamizi WAKAIRUHUSU.