Bw. Andrew Nyerere tuna uhuru wa kutoa maoni kwa njia yeyote, iwe kwa kupiga kura au kuongea, au kuandika nk, wewe kama huwezi tuwachie uwanja na kaa pembeni, swala la kupiga marufuku upigaji wa kura wa maoni ya wanajamii forum hilo ni wazo lako mwenyewe. Lowassa is the only one who will lead as the prisident of this country 2015. Achana na siasa uchwara.
Who's an angel?ni wakati wa watanzania kuchagua rais mwenye uthubutu wa kutumia rasilimali tulizonazo kwa manufaa ya wananchi.Mapungufu yanaweza kutokea kwa njia ya kuwajibika kutenda(commit) ama kupuuza na kutokutimiza wajibu(omission).Wengi wetu tunamuhukumu mtu kutokana na makosa aliyofanya hata kama amefanya mazuri mengi na tukiwasifu wale walioshindwa hata kuthubutu!ameuwawa Gadafi ndo mnaanza kusema oh alisaidia watu wake lakini miaka kadha nyuma aliandikwa kama fisadi mporaji kanunua hekalu kwa Mugabe!EL alithubutu kusimamia maamuzi ya kupeleka maji Shinyanga Kahama ingawa kulikuwa na mikataba ilifanya jambo hilo kuwa gumu!ni' Ubishi'tu wa EL uliofanya jambo hili liwezekane akiwa waziri wa maji na 'jembe'Mkapa wkati huo.Unapowaita devils nachelea kuamini kuwa wewe ni GT basi malaika ni nani?ninyi ndo mlitwambia Jk ni malaika leo mna machungu sana hadi matoa povu kwa kila issue hadi mtoe matusi ndo mridhike!Devils, who cares. Sichagui mashetani mimi. Unamuliza mlokole Safari lager na Tusker ipi nafuu.
Devils, who cares. Sichagui mashetani mimi. Unamuliza mlokole Safari lager na Tusker ipi nafuu.
TEAM EL: Reasons
1. EL ni Mchapakazi: Utendaji wake unaotofautiana na wengine ulionekana vizuri alipokuwa wizara ya maji, alipokuwa wairi mkuu mambo mengi yalishughulikiwa kwenye muda mfupi, ikumbukwe alipoteuliwa kuwa PM alifanya vizuri sana kushughulikia tatizo la njaa lilokuwepo that time
2. EL ni mvumilivu:Amevumilia wakati J K Nyerere alipowakatalia yeye na J Kikwete kugombea urais, alimwachia JKikwete nafasi iliyokuwa wazi kwake kugombea urais kwa uvumilivu kwamba angekuwa next, amevumilia pale watu walipomwita fisadi wa kashfa ya Richmond kwa kumbeba Rais ambaye kiukweli ndie muhusika na amewahi kumwabia JK hadharani
3. EL ni makini: Alivunja mkataba wa ilokuwa city water na serikali iashinda kesi hiyo katika mahakama ya kimataifa ya usuluhishi, Alimshauri pia rais JK kuvunja mkataba na Richmond JK akakataa
4. Hakati tamaa hata pale tuhuma anazopelekewa zinapokuwa nyingi sana. Mara nyingi husema nina mipango ila 'Nitavuka daraja nikilifikia'
5. Si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa fadhila. Mara nyingi huwa hajibu/hashindani na wale wanaotaka ashindane nao.
6. Hasahau kiapo. 'Mimi na Kikwete hatujakutana barabarani'. Hivyo hata kiapo cha kuilinda na kutetea katiba anakiweza
7. Ni Jasiri: Hushughulikia mambo kutokana na udharura wake; hasubiri
8.Just few to mention
Tatizo lake ni afya mgogoro.Mh.EDWARD LOWASSA ANAFITI VIZURI VIATU VYA URAISI
SABABU,
ZIPO SIFA NYINGI SANA INGAWA WALIO WENGI WANAMUONA ETI NI FISADI WA NCHI ILIHALI MAFISADI WAPO WENGI SANA UKIANZIA KATIKA NGAZI YA FAMILIA ZETU KWENDA JUU.KIUKWELI EL SI FISADI KAMA WANAVYOFIKRIA,NA HATA WALE WANAOMCHOKONOA WANAFIKIRI ETI ATAKURUPUKA KUROPOKA ILI WAPATE MWANYA WA KUBLACKMAIL ILI WAO WAWE JUU KISIASA.
- ANA UTHUBUTU WA KUMWAJIBISHA YEYOTE.
- MVUMILIVU.
- MUWEZESHAJI KWA WENGINE.
- MCHAPA KAZI.
- HANA BLAAx2.
- NI MFUATILAJI WA KILE ANACHOAMINI/MTEKELEZAJI.
- SI WA KUYUMBISWAx2 KIMTIZAMO AMA KIFIKRA.
- ANASHAURIKA.
- MWEPESI WA-RESPONSE PINDI ANAHITAJIKA KATIKA JAMII.
- MPENDA MAENDELEO YA UJUMLA.
- NI KIONGOZI ASIYEJISIKIA,ASIYEJIGAMBA WALA KUJIKWEZA KWA WAKUBWA/WENZAKE.
wadau nawakilisha hili suala ili kupata kura za maoni za viongozi hawa ndani ya chama cha ccm.
Toa hoja na mawazo yako na upige kura pia kuona nani anafaa kati ya wawili. Zingatieni kuwa hatushindanishi na viongozi wengine ambao kila mmoja amekumbatia moyoni kuwa anafaa. Haijalishi wewe ni chadema au ccm inachojalisha ni unaona yupi bora kati ya hawa wawili. Kuwa hata kama wote ni devils who is the lesser devil kati ya wawili?
Ni yupi unaona atafaa ama niseme nani angalau anatia matumaini kuwa walau anafaa kuteuliwa kuweza kuongea nafasi ya urais kwa tiketi ya ccm kwa mwaka 2015?
Ni vema ukimataja utowe walau sababu zako ambazo unaona ni msingi wa maamuzi yako. Wadau hasira na pumba naomba ziachwe nje ya hii thread na tuweze kupata jibu thabiti.
Nawasilisha.