sunola
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 2,781
- 1,738
Mkuu Mwugulu mimi nikiri tuu kwamba viongozi wengi mnafanya kazi chini ya ufanisi. Swala la Ben chukulia limefikisha mwezi sasa, hamkuonesha kulijali hill awali mpaka wananchi tupige kelele sana ndio mmejigusa sasa.
Mimi sioni ubaya wa technically kwa kuwa ndio njia mnayopenda msemwe nayo, wizara nzima ndio mtoke usingizini. Na nakuhakikishia usingetoka hapa pengine hizo tuhuma ungezibeba kwa mikono miwili.
Swali Ni kwanini wizara yako haiko active kutuupdate, juu ya maswala ya msingi kama hayo kuchukulika vina saba vya miili hio?. Je huu uzembe unatuahidi nini ukiwa kama waziri mwenye dhamana kwenyw wizara husika?
Je kulikuwa na ugumu gani kwa serikali kusikia kelele za familia husika toka mwanzo, kwa kupotelewa Ben vp unahisi hili halileti mgawanyiko katika jamiii kwa kuna labda hapewi kipaumbele sababu ni mpinzani?.
Mimi sioni ubaya wa technically kwa kuwa ndio njia mnayopenda msemwe nayo, wizara nzima ndio mtoke usingizini. Na nakuhakikishia usingetoka hapa pengine hizo tuhuma ungezibeba kwa mikono miwili.
Swali Ni kwanini wizara yako haiko active kutuupdate, juu ya maswala ya msingi kama hayo kuchukulika vina saba vya miili hio?. Je huu uzembe unatuahidi nini ukiwa kama waziri mwenye dhamana kwenyw wizara husika?
Je kulikuwa na ugumu gani kwa serikali kusikia kelele za familia husika toka mwanzo, kwa kupotelewa Ben vp unahisi hili halileti mgawanyiko katika jamiii kwa kuna labda hapewi kipaumbele sababu ni mpinzani?.