Mh. Safi kwa kutujibu umeonesha uthubutu. Mwenyekiti wa chama hajasema chochote. Wala hana muda. Waziri umekuwa active sana kwa kujibu hoja zote za wizara yako na hii ni nzuri.
Bado nahoji kwanini mwenyekiti wa chama amekuwa kimya mpaka Leo. Ni either anajua au hajali watu wake.
Bado nahoji kwanini mwenyekiti wa chama amekuwa kimya mpaka Leo. Ni either anajua au hajali watu wake.