Umesahau kusema na matumbo yanakuwa makubwa
Nyie wanaume na hayo mavitambi yenu kama pakacha za njugu huwa hamjioni sio?? Wengine mpaka suruali zina vutika marinda kwa lazima.....mwachekelea tuu!!!
Subiri ukibakwa ndio utajua MBILIMBI inaitwaje kwa KIINGEREZA.............LOLLoo nakunywa kwa pesa zangu, wala sina aibu yoyote, una lako jambo wewe.... mbaya wale wanaochukulia pombe kama excuse ya matendo yao, kwa mimi pombe ni starehe ya muda na naendelea na mambo yangu, acha bana bia tamu
Somo limetulia sana hili asante sana Mtambuzi!
Nyie wanaume na hayo mavitambi yenu kama pakacha za njugu huwa hamjioni sio?? Wengine mpaka suruali zina vutika marinda kwa lazima.....mwachekelea tuu!!!