Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,411
- Thread starter
- #21
Chai ya maziwa mimi hapana ila viungo muhimu.Sasa upate chapati na chai ya maziwa iliyoungwa hiliki au chai rangi iliyotiwa karafuu, ni balaa! Kitambo kidogo pale Kariakoo kwa wale Wasomali wa hoteli ya Al Uruba nilikuwa napiga Chapati na Roast ya nyama ng'ombe!!
Tangawizi, iliki na mdalasini ni balaa. . .au ya mchai chai. . . naweza nikanywa kutwa