spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers,
Ni katika kusaidia kuwapa fikra hawa wazee wetu, kila kitu wanaogopa hata kutoa tamko na kutekeleza.
Sasa fanyeni yafuatayo.
1.Majengo yote yaliyo bondeni yabomolewe, kipimo kiwe ni pale mafuriko yalipoishia.
2. Serikali iwape viwanja na mahema watu wote walioathirika na kuwapatia chakula cha kuwatosha miezi isiyopungua mitatu(Mfano. Gunia 2 za Mahindi, Gunia 1 Mchele,Gunia 1Maharage, Sukari kilo 50 mali yote hii kutoka chakula cha hifadhi kilichopo)
3. Serikali iwajengee vyoo na kupeleka huduma ya maji
4. Serikali iweke nguzo kama za Road reserve-ziandikwe End of Valley Reserve
Historia.
Mwalimu Nyerere alifanya kitu kama hiki wakati watu wanahamishiwa Mji mwema,Maweni na Gezaulole.
Yule mzee alikuwa si mtu wa porojo bali mtendeji kwa masuala Serious kama haya.
Nawakilisha
Ni katika kusaidia kuwapa fikra hawa wazee wetu, kila kitu wanaogopa hata kutoa tamko na kutekeleza.
Sasa fanyeni yafuatayo.
1.Majengo yote yaliyo bondeni yabomolewe, kipimo kiwe ni pale mafuriko yalipoishia.
2. Serikali iwape viwanja na mahema watu wote walioathirika na kuwapatia chakula cha kuwatosha miezi isiyopungua mitatu(Mfano. Gunia 2 za Mahindi, Gunia 1 Mchele,Gunia 1Maharage, Sukari kilo 50 mali yote hii kutoka chakula cha hifadhi kilichopo)
3. Serikali iwajengee vyoo na kupeleka huduma ya maji
4. Serikali iweke nguzo kama za Road reserve-ziandikwe End of Valley Reserve
Historia.
Mwalimu Nyerere alifanya kitu kama hiki wakati watu wanahamishiwa Mji mwema,Maweni na Gezaulole.
Yule mzee alikuwa si mtu wa porojo bali mtendeji kwa masuala Serious kama haya.
Nawakilisha