chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,291
- 1,839
Wachaga utawajua HahahahaaaaaaaaaaaaUwiiiii hzo pesaaaa
Wachaga utawajua HahahahaaaaaaaaaaaaUwiiiii hzo pesaaaa
Unamaanisha LAVA inafoka!Mhhh huyu jamaa si wanasema ni Chakula ? Mtoto wa Tabata huyu ,haya kazi kwake na viuno vya Huddah
Tena huyo jamaa anaonekana mnono kuliko huyo mwenzieMshkaji mwenyewe kama punga punga mi naweza to.mba wote wawili
sijui mkuu nimesikia tu sijathibitishaUnamaanisha LAVA inafoka!
haya
Acha tamaa mrembo!Na mm nataka mwenye pesaaaaa aje pm
Unataka mwanaume ?Na mm nataka mwenye pesaaaaa aje pm
Hahahaha ndo huyo dani lakin ka huddah ndo hukaelez kituhuyo jamaa "wakuitwaga" dany, mimi "nilijuaga" ni bonge la nigga kwa maana ya kwamba labda ana ushababi wa sisi watoto wa kiume marijali.
nimesoma comment hapa jf kwamba ni "bwabwa",na sasa namshusha hadhi.
"nilimjuaga" kupitia account yake instagram. kweli usilolijua ni kama usiku giza. asante jf.
sijui mkuu nimesikia tu sijathibitisha
Avatar yako umenikumbusha mbali prof katika ubora wake siku moja kachacha kaenda penye booth ili ampigie simu jamaa yake amvunje kidogo mambo yakaingiliana prof akastukia dili jamaa anamuelekeza kuwa sheikh swalehe atakuja kuchukua hizo pesa baada ya swalaat jumaa akamtajia nyumba namba yake mtaa na jinsi atakavyo kuwa amevaa.Acha tamaa mrembo!
Inawezekana alikua anampost sana na kumsifiaKijana anajitafunia mabinti wazuri kuna kipindi walisema anamahusiano na yule wanayemwita madam!
-nyerere-
Unataka yupi mwanamke akulee au mwanaumeNa mm nataka mwenye pesaaaaa aje pm
KhaaaaUnataka yupi mwanamke akulee au mwanaume
Unataka mwanaume ?
Jibu sio unashangaa si umeuliza mwenyeweKhaaaa