serekali kuweka tozo ktk mafuta ya taa ni kutowajali kabisa wanyonge ambao ni wengi.hivi jast imagine bei ya sukari weka mafuta ya taa kipato 500 vijijini watamudu hii gharama?au waendele kuwasha vinyesi?kwanini uthibit wa uchakachuaji ucbuniwe mbinu nyingine kuliko bei ya mafuta ya taa?