Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Habarini wakuu.
Naomba niwa shirikishe kisa kimoja cha kuchekesha na ajabu sana.Kuna wanawake wengine wako desperate na ndoa hakuna mfano in such a way wako mawindoni 24/7.About 3 years ago one weekend nikiwa na roam around mlimani city then nikaamua kupata lunch in a restaurant there after nimekwisha pata nlichokua natafuta,kuingia restaurant hamad nikakutana na binti mrembo about 25 of age akiwa in a table alone eating.Gentleman nikauliza " may i please join u for lunch ?? Binti kajibu " sure u can ".
Kibaba nikajisemea moyoni " Yes, na siondoki bila mawasiliano hapa Lol" kupiga story mbili tatu na huyu mtoto nkingoja my order she is classic i must say nikafaham alikua ame just complete her degree in accounting & finance, UK (team wakishua) nikamtupia mistari kadhaa ikamuingia mtoto huyo wa kichagga tukabadilishana our dials and she agreed to me that we meet often as we can after a few 2 or 3 weeks penz likawa lina vibration ya hatari kuliko motorolla hatulali, hatuli, hatuamki asubuhi bila mahaba mazito kwenye simu Lol
Kwa kuwa alikua from a reputable, Godly and well off family sikuona mbaya akijua napoishi cause ali insist sanaa i must say na sikua na haraka nae siku ya siku bana akaja to my place tukaishia kuvunja amri ya 6 all that tym alikua akinipiga fix that she was a virgin na hamjui mwanamme maishani mwake and that alishaumizwa akawa depressed wit love issues (i didnt believe it ofcause).
Kula mzigo hyo siku bana, huyu mtoto hakua virgin wala nini wajanja walishafungua njia. Kumuuliza mbona yuko hvyo kanikazia macho anasema mi ndio nimeitoa nd that ni lazima nimuoe lasivyo anajiua amekomaa kweli dat mimi ndio nimeitoa nikawa nacheka tu,after a few months kidogo kidogo akawa analeta vitu vyake in my place,mwishowe pakawa kama ndio kwake ku spend the night there wasnt a problem to her and alishaanza kuwaambia baadhi ya ndugu zake nakaribia kujitambulisha kwao kumfukuza nashindwa nikawa najiuliza sasa nafanyajewakat huo i was already dating someone else.
Sifa kweli za mke nayemtaka kweli alikua nazo mrembo, young, msomi, mcheshi, mchagga kama mm, Godly na mengine mazuri sasa ikanibdi nifanye maamuzi magumu kuwachana na yule mwanamke mwingine i must admit i felt bad and sorry for her cause huyu mtoto ndio kashatia nanga ndio, i had fallen for her completely siambiwi, sielezwi sishkiki nimepigwa shoti, nikafa nikazikwa kwake.Sasa najiuliza ivi ni ndoa zote zinafungwa hivi kibabe, zinakuja naturally au ni makubaliano. Maana ni balaa sana, maana nikiwaza naona kama picha la kihindi.
Naomba niwa shirikishe kisa kimoja cha kuchekesha na ajabu sana.Kuna wanawake wengine wako desperate na ndoa hakuna mfano in such a way wako mawindoni 24/7.About 3 years ago one weekend nikiwa na roam around mlimani city then nikaamua kupata lunch in a restaurant there after nimekwisha pata nlichokua natafuta,kuingia restaurant hamad nikakutana na binti mrembo about 25 of age akiwa in a table alone eating.Gentleman nikauliza " may i please join u for lunch ?? Binti kajibu " sure u can ".
Kibaba nikajisemea moyoni " Yes, na siondoki bila mawasiliano hapa Lol" kupiga story mbili tatu na huyu mtoto nkingoja my order she is classic i must say nikafaham alikua ame just complete her degree in accounting & finance, UK (team wakishua) nikamtupia mistari kadhaa ikamuingia mtoto huyo wa kichagga tukabadilishana our dials and she agreed to me that we meet often as we can after a few 2 or 3 weeks penz likawa lina vibration ya hatari kuliko motorolla hatulali, hatuli, hatuamki asubuhi bila mahaba mazito kwenye simu Lol
Kwa kuwa alikua from a reputable, Godly and well off family sikuona mbaya akijua napoishi cause ali insist sanaa i must say na sikua na haraka nae siku ya siku bana akaja to my place tukaishia kuvunja amri ya 6 all that tym alikua akinipiga fix that she was a virgin na hamjui mwanamme maishani mwake and that alishaumizwa akawa depressed wit love issues (i didnt believe it ofcause).
Kula mzigo hyo siku bana, huyu mtoto hakua virgin wala nini wajanja walishafungua njia. Kumuuliza mbona yuko hvyo kanikazia macho anasema mi ndio nimeitoa nd that ni lazima nimuoe lasivyo anajiua amekomaa kweli dat mimi ndio nimeitoa nikawa nacheka tu,after a few months kidogo kidogo akawa analeta vitu vyake in my place,mwishowe pakawa kama ndio kwake ku spend the night there wasnt a problem to her and alishaanza kuwaambia baadhi ya ndugu zake nakaribia kujitambulisha kwao kumfukuza nashindwa nikawa najiuliza sasa nafanyajewakat huo i was already dating someone else.
Sifa kweli za mke nayemtaka kweli alikua nazo mrembo, young, msomi, mcheshi, mchagga kama mm, Godly na mengine mazuri sasa ikanibdi nifanye maamuzi magumu kuwachana na yule mwanamke mwingine i must admit i felt bad and sorry for her cause huyu mtoto ndio kashatia nanga ndio, i had fallen for her completely siambiwi, sielezwi sishkiki nimepigwa shoti, nikafa nikazikwa kwake.Sasa najiuliza ivi ni ndoa zote zinafungwa hivi kibabe, zinakuja naturally au ni makubaliano. Maana ni balaa sana, maana nikiwaza naona kama picha la kihindi.