funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Wakati wa ujana kabla ya ndoa vijana (naongelea wa kiume) mara nyingi uwa na tabia ya kuongelea jinsi walivyongonoka na demu na style alizotumia kuanzia alivyomtongoza mpaka jinsi walivyochinja kobe na tulikuwa tukielezana kila kitu na jinsi style fulani inavyotumika na reaction ya demu jinsi ilivyomkuna
Swali langu Je mademu nao walikuwa wanasimuliana kama wanaume?
Swali langu Je mademu nao walikuwa wanasimuliana kama wanaume?