Kuoa Mwanasheria!!

ahahahahaaaaaaaaa, hapo patam sana! unatakiwa usichanganye ndoa na taaluma! elimu ya ndoa ni mhimu sana kwani wanandoa wa siku hizi wote wamekuwa wakiact isivyo!
 
Mi sikubaliani na hili!tabia ni ya mtu mwenyewe na sio taaluma aliyosomea!!waambie hao wanaume wajiamini coz inaelekea wana inferiority complex!
 
khaa mpaka mnatubandikaa sahz? si sawa na madaktari tu nae atakuletea zake,sasa mtu kama ticha mfano wa primary au kindagaten unataka akuimbie a,e,i,o,u inafanana na kikombe?
 
Sidhani kama tatizo ni uanasheria!
Tatizo ni tabia za wanawake zao
 
Wewe ndiyo tatizo tafuta darasa la saba, ukimlazimisha. Utakuwa umembaka kaka
 
Nipo mahali hapa na majamaa ambao wote wake zao ni wanasheria. Tulianza kuongelea ishu za Ndoa. Kifupi hawa jamaa wote wawili wanajuta kuoa wanasheria, mmoja ndio alimsomesha mwenyewe mkewe sheria ndio anajuta kwanini alimsomesha sheria. Majamaa wanasema nyumbani kila siku ni pamoto. Ishu ndogo tu basi watapewa vifungu vya sheria. Yani kwa mtazamo wao wake zao kwa kujiona wanajua sana sheria basi heshima haipo kwa waume zao.

Wale mliooa wanasheria, ni kweli mnakumbana na haya!!.

Update
!!

Majamaa wanasema wanawake watiifu ni walimu na manesi!.

Hata kwenye chakula cha usiku pia kuna sheria? Ikiwa hivyo basi noma!
 
Japo hujawa specific wapi hzo sheria zinatumika,
lakini jua kwamba sheria hazimtoi kuwa mwanamke na huyo
anaweza kubebwa hata na mtu asiye na darasa hata moja na sheria
zake kichwani.

Hao ndugu kuna kitu wanaficha tu, siku zote mahusiano
yana fall na nature ya two sex, wanawake siku zote lazima
kuwe kuna kitu cha heshima from their mens, inaweza kuwa pesa
elimu, shughuli n.k sasa inatakiwa ujue kati ya hvyo ni kipi ili nawe
ili uweke hiyo heshima la sivyo akikudharau ndio hayo.....
 
Hata wanaume wanasheria ni tatizo si wanawake tu. Nina kaka yangu mwanasheria nakumbuka wakati bado wote tunaishi kwa wazazi ilifika kipindi kila mtu alianza kumchunia.. yani ukipiga stori kidogo .. mfano nimesikia hivi na hivi anaanza kukwambia umpe evidence... Kha... evidence na mimi nimekwambia nimesikia. Wanaboa aisee... Wamezoea ubishi tokana na nature ya kazi yao... Yani wanajifanya kila kitu wanajua wao.

Ilifika kipindi kabla ujampa stori yotote mpaka ukalukuleti kama una material facts za kutosha. Lol. Wakati ni stori tu za kahawa.

Promo ya ukweli...........
 
Taaluma ikutumia kuboresha ndoa ni sawa. Lakini inapogeuka silaha ni upuuzi. Kujua sheria si kuitumia kwenye mambo hata yasiyohusiana nayo. Hivi kama wanajeshi watatumia kazi yao au wachinja kuku kweli tutafika? Mke au mme anayejua maana na umuhimu wa ndoa hutumia kipato na taaluma yake kuidumisha na si kutishana. Kama wanawake wanasheria wanageuza ndoa mahakama si wangeolewa na mahakama au si waachike tu?
 
Hata wanaume wanasheria ni tatizo si wanawake tu. Nina kaka yangu mwanasheria nakumbuka wakati bado wote tunaishi kwa wazazi ilifika kipindi kila mtu alianza kumchunia.. yani ukipiga stori kidogo .. mfano nimesikia hivi na hivi anaanza kukwambia umpe evidence... Kha... evidence na mimi nimekwambia nimesikia. Wanaboa aisee... Wamezoea ubishi tokana na nature ya kazi yao... Yani wanajifanya kila kitu wanajua wao.

Ilifika kipindi kabla ujampa stori yotote mpaka ukalukuleti kama una material facts za kutosha. Lol. Wakati ni stori tu za kahawa.


lol..............
 
Nipo mahali hapa na majamaa ambao wote wake zao ni wanasheria. Tulianza kuongelea ishu za Ndoa. Kifupi hawa jamaa wote wawili wanajuta kuoa wanasheria, mmoja ndio alimsomesha mwenyewe mkewe sheria ndio anajuta kwanini alimsomesha sheria. Majamaa wanasema nyumbani kila siku ni pamoto. Ishu ndogo tu basi watapewa vifungu vya sheria. Yani kwa mtazamo wao wake zao kwa kujiona wanajua sana sheria basi heshima haipo kwa waume zao.

Wale mliooa wanasheria, ni kweli mnakumbana na haya!!.

Update
!!

Majamaa wanasema wanawake watiifu ni walimu na manesi!.

Bila shaka unamaanisha walimu wote, kuanzia wanaofundisha chekechea hadi PhD.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Nipo mahali hapa na majamaa ambao wote wake zao ni wanasheria. Tulianza kuongelea ishu za Ndoa. Kifupi hawa jamaa wote wawili wanajuta kuoa wanasheria, mmoja ndio alimsomesha mwenyewe mkewe sheria ndio anajuta kwanini alimsomesha sheria. Majamaa wanasema nyumbani kila siku ni pamoto. Ishu ndogo tu basi watapewa vifungu vya sheria. Yani kwa mtazamo wao wake zao kwa kujiona wanajua sana sheria basi heshima haipo kwa waume zao.

Wale mliooa wanasheria, ni kweli mnakumbana na haya!!.

Update
!!

Majamaa wanasema wanawake watiifu ni walimu na manesi!.

Mi mwenyewe najuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuta kuowa loya
 
suala la kuoa/kuolewa halina sheria wala mhasibu wala nesi, hao wake wa rafikizo wana yao tu
 
Back
Top Bottom