tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,078
Wakuu,kuna yeyote humu anayeweza kutusimulia tukio la kunyongwa kwa Saddam Hussein. kwamba Saddam na familia yake au mwanasheria wake walitaarifiwa, alikula nin kama mlo wake wa mwisho, maneno gani aliyoyasema dakika za mwisho, morale yake kabla hajapanda kwenye kitanzi ilikuaje,
Bush+washirika wake walilipokeaje hilo tukio!na pia kuna kipindi nilisikia wanasheria wake walimshauri Saddam aombe kwa papa ili amuombee aondolewe adhabu ya kifo ila yeye akakataa,ilikuaje hapo?na kwa nini adhabu yake alitekelezwa haraka namna hyo?
Bush+washirika wake walilipokeaje hilo tukio!na pia kuna kipindi nilisikia wanasheria wake walimshauri Saddam aombe kwa papa ili amuombee aondolewe adhabu ya kifo ila yeye akakataa,ilikuaje hapo?na kwa nini adhabu yake alitekelezwa haraka namna hyo?