raisiajaye
Member
- Aug 2, 2023
- 18
- 26
Watani, Ndoa ya CHADEMA na Dkt Slaa inaelekea mwisho, Slaa anaelekea chama kipya.
Walijaridu kuforce bond kwenye mkutano wa Temeke, picha halisi ilionesha chemistry kati ya Dkt Slaa na CHADEMA haikubali, ndio maana Slaa toka mkutano wa Temeke ameachwa rasmi kutumika kwenye mikutano ya CHADEMA inayoendelea huko kanda ya ziwa.
Babu ameudhika, naona kaamua aanzishe chama kipya target kubwa ikiwa ni wafuasi wa Hayati Magufuli.
Acha tuone.
Walijaridu kuforce bond kwenye mkutano wa Temeke, picha halisi ilionesha chemistry kati ya Dkt Slaa na CHADEMA haikubali, ndio maana Slaa toka mkutano wa Temeke ameachwa rasmi kutumika kwenye mikutano ya CHADEMA inayoendelea huko kanda ya ziwa.
Babu ameudhika, naona kaamua aanzishe chama kipya target kubwa ikiwa ni wafuasi wa Hayati Magufuli.
Acha tuone.