Huu ujumbe utume moja kwa moja kwa huyo mlengwa. Itakuwa bora zaidi.
Binadamu tuna mapungufu yetu. Wengine tunafanya makosa bila ya kujijua, ila tukijenga tabia ya kuambiana ktk mapungufu yetu, itawezesha kuwa na jamii iliyostaaribika.
Pengine huyo rafiki yako hajijui kuwa anakukosea. Jaribu kumueleza kuwa tabia yake sio. Kama kweli urafiki wenu unaupenda.
Binadamu tuna tamani kuwa sawa, ila kwakuwa tuna mitizamo tofauti. Kwame hatuwezi kuwa sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.