APA CHICAGO
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 259
- 293
Kuna watu wanaroho za korosho,roho mbaya kwa watumishi wa Umma katika nchi hii.Hawataki kuona watumishi wa umma wanaongezewa kipato.
Baada ya taarifa ya ikulu Jana kutoka ikisema mhe Rais Samiah Suluhu Hassan amekubali kufanya nyongeza ya mishahara kwa asilimia 23.3% kwa watumishi wa umma wameanza kulalamika na kusema nchi hii haina uwezo wa kuongeza mishahara kwa watumishi wote kwa asilimia tajwa.
Naamini hawa watu wana nia ovu na serikali ya awamu ya sita hawapendi kuona inafanikiwa, watu hawa wanafikira za kumkwamisha mhe Rais Samiah Suluhu Hassan.
Watu hawa wanaishi awamu ya tano ambayo haikuhitaji Wala kujali masrahi ya wafanyakazi ikiwemo nyongeza ya mishahara.
Watu hawa walijipanga kuona mhe Rais anashindwa ili iwe kicheko Kwao bahati mbaya wanaona Kila kitu kinaenda roho zinawauma.
Nawaomba watu hawa wanyamaze wamuache mhe Rais aendeshe nchi kwani uongozi ni kupokezana vijiti kwa sasa kijiti Kiko Kwa mhe Rais Samiah Suluhu Hassan.Asanteni jumapili njema.
Baada ya taarifa ya ikulu Jana kutoka ikisema mhe Rais Samiah Suluhu Hassan amekubali kufanya nyongeza ya mishahara kwa asilimia 23.3% kwa watumishi wa umma wameanza kulalamika na kusema nchi hii haina uwezo wa kuongeza mishahara kwa watumishi wote kwa asilimia tajwa.
Naamini hawa watu wana nia ovu na serikali ya awamu ya sita hawapendi kuona inafanikiwa, watu hawa wanafikira za kumkwamisha mhe Rais Samiah Suluhu Hassan.
Watu hawa wanaishi awamu ya tano ambayo haikuhitaji Wala kujali masrahi ya wafanyakazi ikiwemo nyongeza ya mishahara.
Watu hawa walijipanga kuona mhe Rais anashindwa ili iwe kicheko Kwao bahati mbaya wanaona Kila kitu kinaenda roho zinawauma.
Nawaomba watu hawa wanyamaze wamuache mhe Rais aendeshe nchi kwani uongozi ni kupokezana vijiti kwa sasa kijiti Kiko Kwa mhe Rais Samiah Suluhu Hassan.Asanteni jumapili njema.