Well said Mkuu . Yani ni mke wangu kabisa huyoo..😔😔Aaaagh hawa wanawake walio ndoani wanachosha sana, tena ndio ukute mumesha ishi pamoja miaka mitano+
Kwanza swala la kukupa penzi wao huwa hawana nyege yaani wewe mwanaume ndio uwe unahitaji kila siku na hata unapo mtia , hana lile vibe la amsha amsha, tena usiombe atangulie ku pee, unaweza msikia maliza basi nataka nilale na ndio cha kwanza hicho.
Ukiendelea kumuemdekeza mkeo utajikuta unapata tatizo la nguvu za kiume, maana kila siku utaishia kupiga bao moja tu kwa wiki mara moja basi, ukitaka kuendelea unasikia nimechoka yaani maliza baki.
Wanaumee! eee! Sisi tuchanje mbuga yeye aendelee kuwa mvivu atabaki nyumbani kukufulia nguo nk ,lakini ukitaka penzi lenye vibe kamata mtoto mzuri jirani hapo piga show nae hawanaga zuio wala choyo wale mgeuze utakavyo ni wewe tu.🤣🤣🤣🤣🤣
Ukisha toka huko umepata penzi nono unakuja kutimiza wajibu kwenye gogo lako la nyumbani
Makanisa mengi mfano haya ya mifumo na kama katoliki ,anglican , Lutheran hawanaga utaratibu huo ,naona sabato katika hili wamejitahidi sana kwa hili.Mjitahidi kushiriki semina za ndoa.
Ichukuliwe tunilikuwa siwaelewi wanaounga mkono bandari ichukuliwe lakn sasa naanza kuwaelewa aisee.
🤣🤣Hiyo rough sex iendane na uhalisia wa nguvu zako pia. Unakuta unataka kumnyongorota na kumkunja kwa fujo mtoto wa watu mizuka ikimpanda wewe ushamwaga ndani ya dk 2 halafu unamuuliza baby ume enjoy, umekojoa?
AiseeUnajiweza lakini?sio unatoa lawama tu kumbe ukifanya dk 5 unajiona mwamba!
Duh!..Ndugu yangu ridhika tu na Hilo gogo,maana hata Gigy mane kwenye minyanduo inawezekana ni gogo Plus,usione zile mbwembwe za nje.
Zamani nlimpataga mnenguaji wa bendi kubwa nchini ukumbi wa msasani,nikajua Kwa miuno nitakayopigiwa siku hiyo basi lazima nitapike maini.,bt ilikuwa kinyume chake kwani manzi kinachotikisika ni manyonyo tu,kwakweli nlikasirika sana.
Kuchakata ni uwezo pia..ichakate hadi aseme yeyer mwenyewe kua NIMECHOKAA!!!!!!!!
Yani unataka upate kitu cha tofauti toka kwa Mke wako. Ile fujo ya kingono isiyo na aibu.
Unamletea na ka beer/ wine ili atoe aibu expecting that in bed she is gona give it all, jamani ile mnafika kwa bed unamshika..anajinyongolota as always, Mvivu, mzembe na ma excuses kibao.
The rough sex you wished, fantasized get washed away kwa hasira kesho yake waenda tafuta the likes za akina Giggy Money.
Hii hainihusu jamani.., ni maoni tu.
Kama upo Dar. Nenda msimbazi Center.......Makanisa mengi mfano haya ya mifumo na kama katoliki ,anglican , Lutheran hawanaga utaratibu huo ,naona sabato katika hili wamejitahidi sana kwa hili.
Kwa hao mitume na manabii uchwara , mie kwanza sihitaji semina ya ndoa, wanawake ndio waende huko ili walinde waume zao mimi nikafanye nini huko wakati kutomba najua ?Kama upo Dar. Nenda msimbazi Center.......