Kuna uwezekano Serikali ya Samia imeishiwa hela. Wakandarasi hawajalipwa ndani ya nusu ya mwaka wa Serikali

Mtanke

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
715
1,774
Mwaka wa fedha 2023/2024 ulianza July 2023 na mpaka leo February 2024 ni zaidi ya nusu mwaka. Habari zilizopo ni kuwa

1. Wakandarasi walioshida zaburi na kusaini tangu September mwaka jana mpaka leo hakuna aliyelipwa hada Advance hivyo wengi wamesimamisha kazi.

2. Wakandarasi wengine wengi wameshinda zabuni lakini mpaka leo february toka October na November hawahasaini mikataba ya kuanza kazi hivyo hakuna kinachofanyika

3. Wakandarasi wa miradi mikubwa hao ndio wameambiwa wasubiri hadi July 2024 yaani mwaka mwingine wa fedha na wao wameamua kusitisha kazi mfano ni Yepi Markenz.

Kwa kifupi serikali ya Mama Samia haijatekeleza mradi wowote wa ujenzi katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Swali ni Je?
1. Bajeti ya Ujenzi iliyopitishwa imeelekezwa wapi?

2. Au tayari wameamua kwenda kuilipia madeni ya mikopo iliyoiva kumbuka maneno ya mama mwenyewe kuwa huwa wanakaa na Mwigulu ni ku re allocate badget.

Serikali itupe majibu kuwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imetekeleza mradi gani wa ujenzi? either mpya au routine maintanance?
 
Mwaka wa fedha 2023/2024 ulianza July 2023 na mpaka leo February 2024 ni zaidi ya nusu mwaka. Habari zilizopo ni kuwa

1. Wakandarasi walioshida zaburi na kusaini tangu September mwaka jana mpaka leo hakuna aliyelipwa hada Advance hivyo wengi wamesimamisha kazi.

2. Wakandarasi wengine wengi wameshinda zabuni lakini mpaka leo february toka October na November hawahasaini mikataba ya kuanza kazi hivyo hakuna kinachofanyika

3. Wakandarasi wa miradi mikubwa hao ndio wameambiwa wasubiri hadi July 2024 yaani mwaka mwingine wa fedha na wao wameamua kusitisha kazi mfano ni Yepi Markenz.

Kwa kifupi serikali ya Mama Samia haijatekeleza mradi wowote wa ujenzi katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Swali ni Je?
1. Bajeti ya Ujenzi iliyopitishwa imeelekezwa wapi?

2. Au tayari wameamua kwenda kuilipia madeni ya mikopo iliyoiva kumbuka maneno ya mama mwenyewe kuwa huwa wanakaa na Mwigulu ni ku re allocate badget.

Serikali itupe majibu kuwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imetekeleza mradi gani wa ujenzi? either mpya au routine maintanance?
za V8 MPYA ZIPO
 
Hili ni kweli hazina kumekauka kau miradi haina pesa licha ya mafungu ya bajeti kupitishwa wakandarasi wengi wanalia njaa toka mwaka jana hakuna malipo ukifanya kazi na Serikali kwa sasa yakupasa uwe makini sana vinginenvyo kama ungaunga mwana hakika unafunga biashara. Sio Tanroads wala Tarura kote ni vilio
 
Na bado...mpaka waseme!

Huku mitaani nako hali ya ukusanyaji kodi ni 'tia maji tia maji'...ile kaulimbiu ya "ukiuza toa risiti na ukinunua dai risiti" utekelezaji wake kama vile umejifia baada ya kukosa wafuatiliaji.
Bila ukusanyaji mzuri wa kodi serikali itafilisika.
Hangaya hana habari...yeye ni anga kwa anga.
 
Mwaka wa fedha 2023/2024 ulianza July 2023 na mpaka leo February 2024 ni zaidi ya nusu mwaka. Habari zilizopo ni kuwa

1. Wakandarasi walioshida zaburi na kusaini tangu September mwaka jana mpaka leo hakuna aliyelipwa hada Advance hivyo wengi wamesimamisha kazi.

2. Wakandarasi wengine wengi wameshinda zabuni lakini mpaka leo february toka October na November hawahasaini mikataba ya kuanza kazi hivyo hakuna kinachofanyika

3. Wakandarasi wa miradi mikubwa hao ndio wameambiwa wasubiri hadi July 2024 yaani mwaka mwingine wa fedha na wao wameamua kusitisha kazi mfano ni Yepi Markenz.

Kwa kifupi serikali ya Mama Samia haijatekeleza mradi wowote wa ujenzi katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Swali ni Je?
1. Bajeti ya Ujenzi iliyopitishwa imeelekezwa wapi?

2. Au tayari wameamua kwenda kuilipia madeni ya mikopo iliyoiva kumbuka maneno ya mama mwenyewe kuwa huwa wanakaa na Mwigulu ni ku re allocate badget.

Serikali itupe majibu kuwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imetekeleza mradi gani wa ujenzi? either mpya au routine maintanance?
Watakwambia fedha hajatoka kwa sababu kuna shida kwenye mifumo ya kielectronic. Kifupi hazina ni kweupe. Fedha ya mikopo imebadilishiwa matumizi na hii ya kodi inatafunwa kwa matumizi ya anasa na wizi. Na kwasababu tuna uchaguzi muda mfupi ujao tuvumilie maumivu, wanasiasa wako bize kuweka hela ya kuwaonga na kufanya hujuma.
 
Mwaka wa fedha 2023/2024 ulianza July 2023 na mpaka leo February 2024 ni zaidi ya nusu mwaka. Habari zilizopo ni kuwa

1. Wakandarasi walioshida zaburi na kusaini tangu September mwaka jana mpaka leo hakuna aliyelipwa hada Advance hivyo wengi wamesimamisha kazi.

2. Wakandarasi wengine wengi wameshinda zabuni lakini mpaka leo february toka October na November hawahasaini mikataba ya kuanza kazi hivyo hakuna kinachofanyika

3. Wakandarasi wa miradi mikubwa hao ndio wameambiwa wasubiri hadi July 2024 yaani mwaka mwingine wa fedha na wao wameamua kusitisha kazi mfano ni Yepi Markenz.

Kwa kifupi serikali ya Mama Samia haijatekeleza mradi wowote wa ujenzi katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Swali ni Je?
1. Bajeti ya Ujenzi iliyopitishwa imeelekezwa wapi?

2. Au tayari wameamua kwenda kuilipia madeni ya mikopo iliyoiva kumbuka maneno ya mama mwenyewe kuwa huwa wanakaa na Mwigulu ni ku re allocate badget.

Serikali itupe majibu kuwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imetekeleza mradi gani wa ujenzi? either mpya au routine maintanance?
Mimi naweza kukubaliana na wewe hususan ninapoona miradi karibu yote mikubwa wanadai Samia kaitolea fedha lakini haikamiliki.Utamsikia Waziri wa Maji,kwa mfano, anavyoririka juu ya miradi ya maji.Lakini hakuna hata mradi mmoja unazinduliwa kuashiria kukamilika.
 
Mwaka wa fedha 2023/2024 ulianza July 2023 na mpaka leo February 2024 ni zaidi ya nusu mwaka. Habari zilizopo ni kuwa

1. Wakandarasi walioshida zaburi na kusaini tangu September mwaka jana mpaka leo hakuna aliyelipwa hada Advance hivyo wengi wamesimamisha kazi.

2. Wakandarasi wengine wengi wameshinda zabuni lakini mpaka leo february toka October na November hawahasaini mikataba ya kuanza kazi hivyo hakuna kinachofanyika

3. Wakandarasi wa miradi mikubwa hao ndio wameambiwa wasubiri hadi July 2024 yaani mwaka mwingine wa fedha na wao wameamua kusitisha kazi mfano ni Yepi Markenz.

Kwa kifupi serikali ya Mama Samia haijatekeleza mradi wowote wa ujenzi katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Swali ni Je?
1. Bajeti ya Ujenzi iliyopitishwa imeelekezwa wapi?

2. Au tayari wameamua kwenda kuilipia madeni ya mikopo iliyoiva kumbuka maneno ya mama mwenyewe kuwa huwa wanakaa na Mwigulu ni ku re allocate badget.

Serikali itupe majibu kuwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imetekeleza mradi gani wa ujenzi? either mpya au routine maintanance?
Hela ziko kwenye emergency works au wewe huoni Mafuriko kila mahala au?
 
Ukishakuwa na kipaumbele cha kuwanunulia viongozi ma viieite badala ya kujenga barabara.......wewe tayari una tatizo la msingi kabisa kwenye namna unavyofikiri.
 
Mwaka wa fedha 2023/2024 ulianza July 2023 na mpaka leo February 2024 ni zaidi ya nusu mwaka. Habari zilizopo ni kuwa

1. Wakandarasi walioshida zaburi na kusaini tangu September mwaka jana mpaka leo hakuna aliyelipwa hada Advance hivyo wengi wamesimamisha kazi.

2. Wakandarasi wengine wengi wameshinda zabuni lakini mpaka leo february toka October na November hawahasaini mikataba ya kuanza kazi hivyo hakuna kinachofanyika

3. Wakandarasi wa miradi mikubwa hao ndio wameambiwa wasubiri hadi July 2024 yaani mwaka mwingine wa fedha na wao wameamua kusitisha kazi mfano ni Yepi Markenz.

Kwa kifupi serikali ya Mama Samia haijatekeleza mradi wowote wa ujenzi katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Swali ni Je?
1. Bajeti ya Ujenzi iliyopitishwa imeelekezwa wapi?

2. Au tayari wameamua kwenda kuilipia madeni ya mikopo iliyoiva kumbuka maneno ya mama mwenyewe kuwa huwa wanakaa na Mwigulu ni ku re allocate badget.

Serikali itupe majibu kuwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imetekeleza mradi gani wa ujenzi? either mpya au routine maintanance?
Wala hujakosea, wameishiwa lakini nilisema"Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
Mwaka wa fedha 2023/2024 ulianza July 2023 na mpaka leo February 2024 ni zaidi ya nusu mwaka. Habari zilizopo ni kuwa

1. Wakandarasi walioshida zaburi na kusaini tangu September mwaka jana mpaka leo hakuna aliyelipwa hada Advance hivyo wengi wamesimamisha kazi.

2. Wakandarasi wengine wengi wameshinda zabuni lakini mpaka leo february toka October na November hawahasaini mikataba ya kuanza kazi hivyo hakuna kinachofanyika

3. Wakandarasi wa miradi mikubwa hao ndio wameambiwa wasubiri hadi July 2024 yaani mwaka mwingine wa fedha na wao wameamua kusitisha kazi mfano ni Yepi Markenz.

Kwa kifupi serikali ya Mama Samia haijatekeleza mradi wowote wa ujenzi katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Swali ni Je?
1. Bajeti ya Ujenzi iliyopitishwa imeelekezwa wapi?

2. Au tayari wameamua kwenda kuilipia madeni ya mikopo iliyoiva kumbuka maneno ya mama mwenyewe kuwa huwa wanakaa na Mwigulu ni ku re allocate badget.

Serikali itupe majibu kuwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imetekeleza mradi gani wa ujenzi? either mpya au routine maintanance?
" Serikali hii ni ya anasa" mbowe
 
Back
Top Bottom