Mkuu,
Nadhani japo tumejadili sana hii ishu, kuna kitu tumeki overlook.
Ni mambo gani ya ku declare.Nadhani kuna mambo ya kimsingi sana mtu anapaswa kuyasema kwa mwenzie hasa kama kuna dalili ya kuwa na uhusiano wa muda mrefu.Kwa uchache nitayataja na nitaomba wengine waongezee kwenye listi:
1. Alishazaa - ( wote mwanamke na mwanaume)
2. Kuwa na hali ya kutoweza kuzaa ( wote)
3. Magonjwa hatarishi kama UKIMWI ( wote)
4.Kuwa na ndoa nyingine ( wote)
sijui kama ni kitu cha maana kutaja ulishalala na watu wangapi kabla ila kama ni lazima ( wote)
5.Kuwa na perversive tendencies ( tigo, chumvini,kupiga chabo etc) -( wote)
6.Ulishatoa mimba au kusaidia kutoa mimba ( wote)
ongezeeni kwenye listi
Ujumbe umefika!WoS,
Hebu fafanua hapo..duh..nilikuwa sijui kama ni kosa..maana wakikusikia wenyewe..utahama JF-lol!
sioni kama kuna umuhimu wowote... kwani nobody will tell the entire truth.... tena yaliyopita yamepita, why shd i start counting my ex's.... eh jamani, unless obama is one of them, i wd want u to know...ahahahhaha lol
Shishi jamani Michelle akijua itakuwaje?
Mkiambiana halafu iongeze nini kwenye uhusiano wenu?Nijuavyo mimi, wanawake wanaweza kustahimili kujua waliowatangulia, ila wanaume inawasumbua sana na inaweza kuja kuwa source of conflict baadae!
Ni muhimu sana kuelezana ukweli mlikopita huko nyuma. Ila unafanya 'taimingi' wakati mko kwenye peak flan. Na past yako kama unahisi itamuumiza mwenzio ingiza na uongo kidogo kupunguza makali. Baadaye mkioana kama bado hajagundua, si vibaya ukimalizia sehemu ya mwisho (ukweli ulioficha) ya hadithi yako.
Ukishasema uwongo ni bora kuuacha uwongo huo kama ulivyo...
Hodi wana jamii forum..
Hodi wana jamii forum..
Karibu chumbani I assume your a young lady! If not sorry karibu kwenye kiambaza..