BITTY NGUZO
Member
- May 26, 2009
- 32
- 4
Kwa muda mrefu serikali imeshindwa kudhibiti bei za bidhaa mbalimbali,nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 1980 aliyekuwa waziri mkuu marehemu Edward Moringe Sokoine aliendwsha zoezi la kuwakamata wahujumu uchumi.Zoezi hili liliwagusa sana wafanyabiashara ambao walikuwa wanauza bidhaa mbalimbali kwa bei ya kulangua.Nawauliza wana "jf" je,kwa sasa kuna umuhimu wa kurejesha operation hiyo ili serikali iweze kudhibiti wafanyabiashara na mfumuku wa bei?:redfaces: