Ninavyoelewa mimi ni kwamba Rai/Mtanzania ni gazeti la mafisadi ambao wanataka kuhalalisha kuwa kwao na MALI nyingi kwa kushika nyadhifa za juu pia za kisiasa nchini.
Wakati CJJ nimeambiwa ni chama cha watu safi wanaotaka kujitoa CCM kwa sababu wanaamini wanaweza kuijenga Tanzania kiuchumi na kijamii bila kutegemea sana misaada toka nchi na pia kutenga siasa na uchumi!
Hebu tuelimisheni!!!
Wakati CJJ nimeambiwa ni chama cha watu safi wanaotaka kujitoa CCM kwa sababu wanaamini wanaweza kuijenga Tanzania kiuchumi na kijamii bila kutegemea sana misaada toka nchi na pia kutenga siasa na uchumi!
Hebu tuelimisheni!!!