Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 550
- 786
WanaJF hawa wanaojiita 'watchdog' nao wamulikwe wanapiga hela laini mno isiyo na kelele wala manung'uniko,watu wanapiga mpaka hela za watoto u cant believe asee!Unajua fedha nyingi za NGOs ni training watu wanakula perdiem za hatari daily na bado wanasaini za washiriki ambao hawakufika,sehem nzingine hata training hazifanyiki watu wanapika payroll na kufoji receipt za malazi na vyakula hela inatafunwa nzimanzima kama ilivyo huwezi amini af Mpigaji akitoka hapo anaitisha vyombo vya habari anatoka povu anakemea wizi serikalini teh!Benki maafisa mikopo wanagonga 10% vibaya mno!Watu kila kona wanapiga af ukiwauliza wanasema kila mtu anakula ofisini kwake sasa tusio na Ofisi tule wapi?,Hawa wanajisahau huku wanazoea kupiga siku wakiingia serikalini ndiyo wanaendeleza libeneke Rushwa inakuwa balaa,WanaJF ni vyema tupambane kotekote asee!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums