Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,397
Hili janga la "kujichua" limekuwa kubwa na limeathili vijana wengi, kiukweli ukianza "kujichua" wewe ni sawa na mtu aliyeanza madawa ya kulevya, yaani kuacha ni "muujiza", wengine mpaka wanaoa lakini bado wanaendelea.
Wadada humu wanalalamika kuwa hawaridhishwi na wapenzi wao eti kisa "punyeto". Hivi jamani hakuna "sober house" ambazo zinatupokea sisi tulioathiriwa na hii kitu? Maana tangu nifundishwe na mwalimu wa sayansi std 7 mpaka leo sijaacha, popote ulipo ticha mungu anakuona.
moto wa maji Mwenyekiti CHAPUTA
The Book Katibu Mkuu CHAPUTA.
Wadada humu wanalalamika kuwa hawaridhishwi na wapenzi wao eti kisa "punyeto". Hivi jamani hakuna "sober house" ambazo zinatupokea sisi tulioathiriwa na hii kitu? Maana tangu nifundishwe na mwalimu wa sayansi std 7 mpaka leo sijaacha, popote ulipo ticha mungu anakuona.
moto wa maji Mwenyekiti CHAPUTA
The Book Katibu Mkuu CHAPUTA.