Kuna nini kwenye Sayari ya Venus?

TESRA

JF-Expert Member
Nov 25, 2017
331
318
Venus ni sayari ya pili ktk mfumo wa jua. lakini kwa kiswahili hujulikana kama zuhura, ni sayari inayoongoza kwa kung'aa kuliko sayari yeyote ile .........pia hujulikana kama morning star vile vile sayari hii inatabia ya kuonekana jion baada ya jua kuzama upande wa magaribi.

Venusi ipo umbari wa km 107 million kutoka jua, pia ni sayari pekee iliyo kalbu na dunia, Venus huwa inakalibiana na dunia kwa umbali wa km 38 million kutokana mwendo wa sayari....Venusi ni sayari inayo lingana na dunia ktk umbo ,sometime Venus na dunia huitwa pacha........

Venus ina sifa za kipekee ambazo huwezi kuzikuta ktk sayari zingine kama vile

1.venusi hutumia siku 243 kujizungusha ktk muhimil wake maana yake siku moja ya Venus ni sawa na siku 243 za kidunia ..pia Venus hutumia siku 224 kumaliza mwaka mmoja kulizunguka jua ko ina maanisha kwamba siku moja ya Venus ndefu kuliko mwaka ......

2.sayari nying huzunguka kutoka clockwise kwenda ant clockwise lakini ktk sayari ya Venus ni kinyume chake , bado NASA hawaja elewa kwanin Venus inaenda kinyume...............

3.Venus ni sayari yenye joto kali sana linalofikia 470c ....yaani sayari ya mercury iliyo kalbu na jua haina joto kali kama linalopatikana Venus ..........

4... Venus ni sayari yenye volcano nyingi kuliko sayari yeyote ktk mfumo wa jua ,kuna aina 1600 za volcano ktk safari ya venus....venus ni sayari yenye anga chafu kuliko sayari yeyote ktk mfumo wa jua uku ikiwa imetawaliwa na gesi chafu ya carbon dioxide ,aisee uko kikianzishwa kiwanda cha coca cola watapata faida sana maana carbon dioxide ni bure........ Pia kutokana kuwa na anga chafu inakuwa ni vigumu sana kuifanyia uchunguzi sayari hii ambapo wana astronomia wanashindwa kuitazama sura yake vizuri kwakutumia telescope kutoka duniani......venus haina mwezi ata mmoja unaoizunguka sayari hii

5......ni sayari inayo ng'aa sana ktk mfumo wa jua huwa inaonekana mda mfupi baada ya jua kuzama upande wa magaribi ,huwa inaonekana ktk nyuzi 45.. Pia asubui inakuwa ya mwisho kupotea baada ya nyota zote kupotea ......na huwa ina ng'aa sana ndiyo maana ikaitwa ZUHURA........

6.... ukizipanga sayari zote nane ktk sayari zinazoweza kusuport life basi venus itakuwa ya mwisho kutokana na kuwa na joto kali sana pamoja na vimbunga ving visivyokuwa na mwisho na volcano zinazolipuka mda wote........

7.. Urusi lilikuwa taifa LA kwanza kutuma chombo kwenda sayari ya Venus miaka iyo ya 1970's lakin vyombo vingi vilikuwa vikiungua kabla ata ya kufika lakin ata vyombo ambavyo vilifika vili tuma picha hafifu mda mfupi kabla ya kuungua kutokana na joto lililopo ktk venus .........lakin miaka ya mbeleni urusi na malekani walifanikiwa kufanya mission za kutuma vyombo ktk sayari iliyo kalbu na dunia kwa ajili ya kuichunguza venusi.......................

a98e00670d6712d4cacb69e1ddf91031.jpg
..........hiyo picha ni chombo kinacho itwa Venus express kilitumwa mwaka 2005 kwenda sayari ya venus......................

8..venus ina carbon dioxide nying ktk anga lake hii upelekekea sayari kuwa na joto kali..................................,....,...........................................,,.nafungua mjadala unaweza ongezea chochote.......................kuhusiana na sayari ya venusi......

c05ac776e7261b51e57a8945ced61887.jpg

.....,.... .... . muonekano wa sayari ikifika mwezi wa tano sayari km venus,mars na Jupiter zitakuwa zikionekana live bila chenga
f99b530fa1f1e5c7a14ed98511538531.jpg
75d3d3ae4572a1eb42f7794c9f0d26d4.jpg


Cutaway_diagram_showing_size_and_location_of_instruments_highlight_mob.jpg
 
Mada imekosa wachangiaji.

Ajabu kwangu ni hio kutumia muda mrefu kujizungusha , itakua na low speed kuliko sayari nyingine zote.
 
Venus ni sayari ya pili ktk mfumo wa jua. lakini kwa kiswahili hujulikana kama zuhura, ni sayari inayoongoza kwa kung'aa kuliko sayari yeyote ile .........pia hujulikana kama morning star vile vile sayari hii inatabia ya kuonekana jion baada ya jua kuzama upande wa magaribi ......................Venusi ipo umbari wa km 107 million kutoka jua, pia ni sayari pekee iliyo kalbu na dunia, Venus huwa inakalibiana na dunia kwa umbali wa km 38 million kutokana mwendo wa sayari.............Venusi ni sayari inayo lingana na dunia ktk umbo ,sometime Venus na dunia huitwa pacha........Venus inasifa za kipekee ambazo huwezi kuzikuta ktk sayari zingine kama vile 1.venusi hutumia siku 243 kujizungusha ktk muhimil wake maana yake siku moja ya Venus ni sawa na siku 243 za kidunia ..pia Venus hutumia siku 224 kumaliza mwaka mmoja kulizunguka jua ko ina maanisha kwamba siku moja ya Venus ndefu kuliko mwaka ......2.sayari nying huzunguka kutoka clockwise kwenda ant clockwise lakini ktk sayari ya Venus ni kinyume chake , bado NASA hawaja elewa kwanin Venus inaenda kinyume...............3.Venus ni sayari yenye joto kali sana linalofikia 470c ....yaani sayari ya mercury iliyo kalbu na jua haina joto kali kama linalopatikana Venus ..........4... Venus ni sayari yenye volcano nyingi kuliko sayari yeyote ktk mfumo wa jua ,kuna aina 1600 za volcano ktk safari ya venus....venus ni sayari yenye anga chafu kuliko sayari yeyote ktk mfumo wa jua uku ikiwa imetawaliwa na gesi chafu ya carbon dioxide ,aisee uko kikianzishwa kiwanda cha coca cola watapata faida sana maana carbon dioxide ni bure........ Pia kutokana kuwa na anga chafu inakuwa ni vigumu sana kuifanyia uchunguzi sayari hii ambapo wana astronomia wanashindwa kuitazama sura yake vizuri kwakutumia telescope kutoka duniani.......4.venus haina mwezi ata mmoja unaoizunguka sayari hii 5......ni sayari inayo ng'aa sana ktk mfumo wa jua huwa inaonekana mda mfupi baada ya jua kuzama upande wa magaribi ,huwa inaonekana ktk nyuzi 45.. Pia asubui inakuwa ya mwisho kupotea baada ya nyota zote kupotea ......na huwa ina ng'aa sana ndiyo maana ikaitwa ZUHURA........6.... ukizipanga sayari zote nane ktk sayari zinazoweza kusuport life basi venus itakuwa ya mwisho kutokana na kuwa na joto kali sana pamoja na vimbunga ving visivyokuwa na mwisho na volcano zinazolipuka mda wote........7.. Urusi lilikuwa taifa LA kwanza kutuma chombo kwenda sayari ya Venus miaka iyo ya 1970's lakin vyombo vingi vilikuwa vikiungua kabla ata ya kufika lakin ata vyombo ambavyo vilifika vili tuma picha hafifu mda mfupi kabla ya kuungua kutokana na joto lililopo ktk venus .........lakin miaka ya mbeleni urusi na malekani walifanikiwa kufanya mission za kutuma vyombo ktk sayari iliyo kalbu na dunia kwa ajili ya kuichunguza venusi.......................
a98e00670d6712d4cacb69e1ddf91031.jpg
............hiyo picha ni chombo kinacho itwa Venus express kilitumwa mwaka 2005 kwenda sayari ya venus.......................8..venus ina carbon dioxide nying ktk anga lake hii upelekekea sayari kuwa na joto kali..................................,....,...........................................,,.nafungua mjadala unaweza ongezea chochote.......................kuhusiana na sayari ya venusi......
c05ac776e7261b51e57a8945ced61887.jpg

tusubiri wanasayansi watukuze
 
Ukisoma kitabu cha HERCOLUBUS OR RED PLANET cha mwandishi V.M. RABOLU yeye anasema kwenye VENUS kuna uhai,viumbe wanaishi na wako intelligence sana.

Jamaa wanakula bata sana,hakika ukisoma hicho kitabu utatamani kuwa Venusian.

Astronauts wengi huwa machapisho yao nayachukulia 60% ndiyo ukweli,mengine ni dhahania
 
hv kunachombo chochote kilishawahi kutumwa kwenye jua kuchunguza au kukaribia maana swali hili tulishawahi kujiuliza miaka ming na kukosa majibu yaani chanzo cha jua kuwa na joto kali ni nini napia tumeshazoea kuona kitu chenye joto mfano chuma ukikichoma moto kinakuwa chekundu lakini kwenye jua unatoka mwanga mweupe na si mwekundu ni mahesabu gani yametumika hadi hali ikawahiv mwenye utaalamu anisaidie
 
hv kunachombo chochote kilishawahi kutumwa kwenye jua kuchunguza au kukaribia maana swali hili tulishawahi kujiuliza miaka ming na kukosa majibu yaani chanzo cha jua kuwa na joto kali ni nini napia tumeshazoea kuona kitu chenye joto mfano chuma ukikichoma moto kinakuwa chekundu lakini kwenye jua unatoka mwanga mweupe na si mwekundu ni mahesabu gani yametumika hadi hali ikawahiv mwenye utaalamu anisaidie
Jua ni myeyungano (mlipuko) wa kinuklia unaoungua gesi ya helium na hydrogen hakuna kinachoweza kulikaribia jua ila vipimo vimefanyika mbali maana kama telescope hub zimeweza kuona umbali wa inje ya jua letu na kuchunguza inje ya galakis (milk away galaxy)yetu basi ni lahisi kuchunguza Jua letu,
 
Ukisoma kitabu cha HERCOLUBUS OR RED PLANET cha mwandishi V.M. RABOLU yeye anasema kwenye VENUS kuna uhai,viumbe wanaishi na wako intelligence sana.

Jamaa wanakula bata sana,hakika ukisoma hicho kitabu utatamani kuwa Venusian.

Astronauts wengi huwa machapisho yao nayachukulia 60% ndiyo ukweli,mengine ni dhahania
Mkuu hii red planet ina joto Kali sana uwezekano wa kuwapo viumbe hai 0.0001% maana hakuna chochote kiumbe cha duniani kinachoweza kustahimili hali ya hewa ya huko.
Na kama kungekuwepo uhai na ni Sayari iliyopo karibu yetu basi ni dhahiri tungeshapata kufahamu ukweli na kama viumbe hao wameendelea kiteknoroji tungeshawaona ktk anga yetu ambayo tupo karibu sana
 
Ukisoma kitabu cha HERCOLUBUS OR RED PLANET cha mwandishi V.M. RABOLU yeye anasema kwenye VENUS kuna uhai,viumbe wanaishi na wako intelligence sana.

Jamaa wanakula bata sana,hakika ukisoma hicho kitabu utatamani kuwa Venusian.

Astronauts wengi huwa machapisho yao nayachukulia 60% ndiyo ukweli,mengine ni dhahania
Huyo Rabolu alijuaje hali ya huko au ni miongoni mwa watafiti?
 
there is nothing like mars.nasa wanasaka attention tuu...apo kwenye mwezi tuu hawakufika walitudanganya.story za mars watazipata wapi ...dunia ni tambarare.for more info enter you tube search moon landing hoax.au flat earth proofs
Sasa huko you tube unakokusema, ndiko kuliko na watu waliotembelea anga na kuona hakuna Mars? Au kuhusu flat Earth, wameizungukia dunia nzima wakaona iko flat? Nitaamini vipi kuwa wanachokisema ndicho cha kweli na kilichosemwa na watu tofauti ni uongo?
 
Sasa huko you tube unakokusema, ndiko kuliko na watu waliotembelea anga na kuona hakuna Mars? Au kuhusu flat Earth, wameizungukia dunia nzima wakaona iko flat? Nitaamini vipi kuwa wanachokisema ndicho cha kweli na kilichosemwa na watu tofauti ni uongo?
Mkuu shida ya Africa wanaingiza udini ktk sayansi na hata hizo dini akisoma fungu moja anaona ameujua ukweli na kuanza kuleta mijadara lakini sayansi siyo siasa na dini

Sayansi inajaribu kutufanya wastaarabu nakujua yaliyofichika nyuma ya pazia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom