Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Ukimsikiliza mwendawazimu/kichaa katika wingi wa maneno yake unaweza lipata neno zuri sana lililojaa "busara/hekima" Ambalo kama ukiendelea kulitafakari linakupa uelewa mpya na kukutoa toka sehemu moja hadi nyingine.
Lakini mara nyingi ninapokuwa namsikiliza Mzee Yusufu Makamba huwa anaishia kutoa vichekesho ama maneno yenye kuumiza(hurting words) na yeye wala hajali. Nikitafakari zaidi naona upuuzi.
Stop! Stop!
Naomba unisaidie ili nisije mdharau kwa kiwango cha juu huyu mzee, kwa kunieleza kama kuna maneno ya busara aliyowahi tamka ukayasikia ama ulielezwa. Kuyajua hayo kutanishape tofauti nisimdharau baba wa watu.
Lakini mara nyingi ninapokuwa namsikiliza Mzee Yusufu Makamba huwa anaishia kutoa vichekesho ama maneno yenye kuumiza(hurting words) na yeye wala hajali. Nikitafakari zaidi naona upuuzi.
Stop! Stop!
Naomba unisaidie ili nisije mdharau kwa kiwango cha juu huyu mzee, kwa kunieleza kama kuna maneno ya busara aliyowahi tamka ukayasikia ama ulielezwa. Kuyajua hayo kutanishape tofauti nisimdharau baba wa watu.