Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Wakuu Wa JF kuna rafiki yangu ana mtoto wake wa Umri wa Miaka 7 anasumbuliwa na Kansa ya mifupa je Wadau Wa JF munaweza kunisaidia atumie dawa gani ili aweze kupona huyo mtoto wake?
Naombeni msaada wenu ndugu zangu Wana JF nitashukuruni kwa mawazo na msaada wenu ndugu zangu Wa Jf asanteni sana.
Naombeni msaada wenu ndugu zangu Wana JF nitashukuruni kwa mawazo na msaada wenu ndugu zangu Wa Jf asanteni sana.